mparestina
Member
- Jun 4, 2011
- 10
- 8
kiukweli nashindwa kuelewa jambo hl,kuwa wanandoa mnaishije kwenye ndoa bila Yesu?sasa si mtaishi kutoana ngeu humo ndani?na kwenda jehanamu kwenye moto wa milele?okokeni vijana wenzangu,kwa YESU ni raha tupu.ujumbe huu wafikishie na wengine.sina meng kwa leo.
kiukweli nashindwa kuelewa jambo hl,kuwa wanandoa mnaishije kwenye ndoa bila Yesu?sasa si mtaishi kutoana ngeu humo ndani?na kwenda jehanamu kwenye moto wa milele?okokeni vijana wenzangu,kwa YESU ni raha tupu.ujumbe huu wafikishie na wengine.sina meng kwa leo.
I can smell udini kwenye hii thread,.....kwani watu wa dini zingine ambao hawamwamini yesu hawaishi na wake zao vizuri,...mbona yule pastor wa usa-nani yule anyway_benny hinn katengana na mke wake kwani hana yesu yule,.
Nb;Mimi na mleta thread tuna-share dini moja,ila sipendi udini na hoja chochezi za udini.
I can smell udini kwenye hii thread,.....kwani watu wa dini zingine ambao hawamwamini yesu hawaishi na wake zao vizuri,...mbona yule pastor wa usa-nani yule anyway_benny hinn katengana na mke wake kwani hana yesu yule,.
Nb;Mimi na mleta thread tuna-share dini moja,ila sipendi udini na hoja chochezi za udini.