Hv wanawake wa siku hz mna matatizo gani

Hv wanawake wa siku hz mna matatizo gani

kwanza tutake radhi wanawake!!!!!!!!!!!!!

kuna watu wazinzi kama wanaumee??????? mtu ana mke wake na anazini nje sembuse huyo binti wa watu ambaye walikuwa ni g.friend na boyfriend tu!!!

acha maneno yako ww!!
 
kwanza tutake radhi wanawake!!!!!!!!!!!!!

kuna watu wazinzi kama wanaumee??????? mtu ana mke wake na anazini nje sembuse huyo binti wa watu ambaye walikuwa ni g.friend na boyfriend tu!!!

acha maneno yako ww!!

Hahahaha punguza ukali mamito, unajua wababa/kaka wanapenda wawe wanafanya wao tu wakidhani sisi tumeumbwa kama chuma sijui? hata sielewagi kabisa mie
 
kwanza tutake radhi wanawake!!!!!!!!!!!!!

kuna watu wazinzi kama wanaumee??????? mtu ana mke wake na anazini nje sembuse huyo binti wa watu ambaye walikuwa ni g.friend na boyfriend tu!!!

acha maneno yako ww!!

jamani susy mmh haya ngoja nikuombe msamaha bt tukabali wote tuna matatizo
 
Ni story ya kweli wote wawili wanafunzi wa mzumbe mwaka watatu.boy na demu wana mahusiano toka wakiwa mwaka wa kwanza jamaa kampenda kweli gash muda ukazidi kwenda kumbe demu anamcheat jamaa kila siku'kwel siku za mwizi 40'siku hyo demu anaumwa all day akawa na jamaa wake wakaenda hosp kuchukua vdonge na dawa nyngne'jamaa akakaa na demu wake had saa nne'wakaagana mchz akarudi kwake'demu nyuma gari ya mwarabu ikapaki si akatoka bwana kwenda mjini kula bata wanafika kwenye kona fulani b4 moro gari ikapata ajari mwarabu kafa demu kanusurika na majeruhi'jamaa kesho anarudi asubuhi anaanza kumuulizia demu wake magash wengne wakaanza kumficha'jamani uongo mbaya
Ama kweli za mwizi 40. Ukiwaficha binadamu wenzako Mungu atakuumbua.
 
Back
Top Bottom