Hv wanawake wa siku hz mna matatizo gani

kwanza tutake radhi wanawake!!!!!!!!!!!!!

kuna watu wazinzi kama wanaumee??????? mtu ana mke wake na anazini nje sembuse huyo binti wa watu ambaye walikuwa ni g.friend na boyfriend tu!!!

acha maneno yako ww!!
 
kwanza tutake radhi wanawake!!!!!!!!!!!!!

kuna watu wazinzi kama wanaumee??????? mtu ana mke wake na anazini nje sembuse huyo binti wa watu ambaye walikuwa ni g.friend na boyfriend tu!!!

acha maneno yako ww!!

Hahahaha punguza ukali mamito, unajua wababa/kaka wanapenda wawe wanafanya wao tu wakidhani sisi tumeumbwa kama chuma sijui? hata sielewagi kabisa mie
 
kwanza tutake radhi wanawake!!!!!!!!!!!!!

kuna watu wazinzi kama wanaumee??????? mtu ana mke wake na anazini nje sembuse huyo binti wa watu ambaye walikuwa ni g.friend na boyfriend tu!!!

acha maneno yako ww!!

jamani susy mmh haya ngoja nikuombe msamaha bt tukabali wote tuna matatizo
 
Ama kweli za mwizi 40. Ukiwaficha binadamu wenzako Mungu atakuumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…