Hvi sitapona tena jamani? Daaahh

Richbest

Senior Member
Joined
May 23, 2011
Posts
101
Reaction score
24
Habari ndugu zangu mwenzenu ninasumbuliwa na maumiv ya mgongo Mwaka WA tatu sasa nimetumia dawa nyingi za kienyej na za hospital bila mafanikio na tatzo naona linazid badala ya kupungua.. Chanzo cha tatzo nilikandamizwa na fimbo mgongoni toka cku hiyo hadi Leo sehem niliyopigwa panauma nikipabinya..nimefanya vipimo Vingi na hivi karbun nilifanya kipimo cha MRI pia nkaambiwa hakuna tatzo lililoonekana..nisaidie jaman tiba asanteni Sana
 
Pole ndugu usikate tamaa nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
ULIKANDAMIZWA AU ULIPIGWA WEKA WAZI USAIDIWE
 
Asante Sana Dr nafanya hvo
 
Mkuu mimi nahitaji dawa ya mapenzi...
 
Ulitandikwa fimbo mgongoni kwa kosa gani? Na ulichukua hatua gani?
 
Nenda kwa physiotherapist atakuwa mazoezi yatakayo saidia
 
Linaweza kuwa tatizo sio mgongo kabisa ila wewe unaamini ilikuwa ni Ile fimbo
Unaweza kuwa mguu katafute ushauri haraka
 
Aisee haya matatzo ya back pain ni ishu sana. Unaweza kumeza kila dawa lakn usipone, lakn njia nzuri ni kufanya mazoezi kadhaa ya kunyoosha mgongo, ukifanya consistently mwezi mmoja yanaisha .mm pia yalinisumbua sana. Ingia web ya Dr mercola kisha, ndani mule usearch back pain exercise then anza kupractice
 
kuna taarifa ya madaktari bingwa wa yaha mambo toka hospitali ya sarvodaya india watakuja dar es salaam, nadhani ni kuanzia tarehe 3/10/2017 watakuwepo hospitali ya Tumaini., kama upo dar basi fika hiyo hospitali ya tumaini ipo Upanga akapate taarifa za uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…