Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Swali jingine ... leo niko kwenye mchakato wa kuandaa maelekezo kwa picha .. step by step... naamini hii kitu inaweza maliza migogoro ya wakulima na wafugaji.Ok thanks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali jingine ... leo niko kwenye mchakato wa kuandaa maelekezo kwa picha .. step by step... naamini hii kitu inaweza maliza migogoro ya wakulima na wafugaji.Ok thanks
Nasubiri swali jingine wa kwetu...ok, thanks!
Naomba kama nataka kulisha nguruwe. Chakula kipi kitafaa kiandaliwe?Swali jingine ... leo niko kwenye mchakato wa kuandaa maelekezo kwa picha .. step by step... naamini hii kitu inaweza maliza migogoro ya wakulima na wafugaji.
Iwe ngano, shayili, uwele, ulezi, mahindi, mtama .... yote sawa .... mpimie kiko 2 za Fooder na umpatie kila siku utaona majibu. Kwanza inampunguzia mafuta kwenye ngozi (toka mm 14 hadi mm 7); zipo faida nyingi tu mkuu.Naomba kama nataka kulisha nguruwe. Chakula kipi kitafaa kiandaliwe?
Je ngano itafaa?.
Naomba procedures..
Mkuu inaoteshwaje tupe somo vzr nduguOtesha ayo fodder yako poa sana na yana save garama
Samahan mkuu naomve utupe hzo procedure hapa hapa km inawezekana tutashukuruNipe e-mail yako nikutumie step by step procedures.
email yangu hii ackundya@hotmail.com naomba unitumie hizo step za uoteshajiSamahan mkuu naomve utupe hzo procedure hapa hapa km inawezekana tutashukuru
Samahan mkuu naomve utupe hzo procedure hapa hapa km inawezekana tutashukuru
Naomba unitumie step za uzalishaji wa hiyo fodder; ackundya@hotmail.comIwe ngano, shayili, uwele, ulezi, mahindi, mtama .... yote sawa .... mpimie kiko 2 za Fooder na umpatie kila siku utaona majibu. Kwanza inampunguzia mafuta kwenye ngozi (toka mm 14 hadi mm 7); zipo faida nyingi tu mkuu.
hiyo 125gms per day ni kwa free range au zero grazing??Nasubiri swali jingine wa kwetu...
0 grazinghiyo 125gms per day ni kwa free range au zero grazing??
Inawezekana ...Samahan mkuu naomve utupe hzo procedure hapa hapa km inawezekana tutashukuru
Soma chini hapo tayariNdugu naomba nami unitumie stepu za utengenezaji email yangu andreamabubu@gmail.com
Sambaza mbegu hadi usione base ya huo hungo, hungo hauna vipimo vya kueleweka.Ungo mmoja unatakiwa kubeba mbegu kilo ngapi?
Steps za kutengeneza chakula ni zipi? ackundya@hotmail.comNasubiri swali jingine wa kwetu...
Tunashukuru kwa hilo, lakini pia ningependa kujua tunaziotesha wapi (kwa rate ipi), nutrients zipi zinatumika na kwa rate gani!Inawezekana ...
1. Unasafisha mbegu kuondoa uchafu ...
2. Unaziloweka kwenye maji ili zifyonze maji..
3. Unaotesha
4. Unastawisha kwa kuzipatia nutrients na maji...
after 7/8 days unawapatia mifugo...
Maelezo kamili utapata baada ya kukubali kuwa uko tayari kuyafanyia kazi na si vinginevyo!Tunashukuru kwa hilo, lakini pia ningependa kujua tunaziotesha wapi (kwa rate ipi), nutrients zipi zinatumika na kwa rate gani!
Tunashukuru kwa hilo, lakini pia ningependa kujua tunaziotesha wapi (kwa rate ipi), nutrients zipi zinatumika na kwa rate gani!