Shairi inapatiakana Moshi kilo ni Tsh 700 so cheki unaweza chukua kilo ngapi
Naipataje hiyo shayiri? Tafadhari ni pm
Kwa Dar si dhani zinapatikana Nairobi, ila wiki hii naenda hulo na nitakujulisha nini cha kufanya.
wewe uko arusha sehemu gani? Mbolea si hii ya kawaida ipo cpecial ambayo lita tano za hiyo mbolea ya maji unaweza zalishia kilo 800 za fodder.
Pm Mr.hivi nyie mliosomea kilimo wenye digrii zenu na diploma hamuwezi fikiria hydroponic farming inaweza kuwapatia fedha kwa kuwafundisha wenye kuitaji hiyo elimu? embu sugueni vichwa siyo kila kitu kwenda kujifunza nje hata hydroponic hakuna mtaalamu anayeweza kuwafundisha wengine? ni pm tufanyekazi
Tajirisana
tajirisana ni PM pliz
nimeku-pm muda mrefu
Niko kwenye Gari nkifika nta chat nawe juu ya hydroponic
Ni Pm ukitaja Uko wapi nikuelekeze Kuwa agent WA laribu nawewe
Tumia Di grow inapatikana Jay mall Dar au in pm nikupe cell no uzipate