Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

aisee,,, naomba kwa aliye Dar au karibu na Dar anijulishe kuhusu hii kitu, nimevutiwa nayo ila nahitaji kwanza practical experience.
 
Chenge+hydroponics.jpg


A recently introduced fodder growing technology is fast rising in the country, offering farmers year round supply of nutritious green fodder, grown for just eight days and producing up to 50 kgs of the fodder in a 20 by 10 feet space, enough to feed 20 mature cows or 120 goats all year round.

Dubbed hydroponics technology for its ability to grow fodder and other crops without the soil, the project has been hailed as a revolutionary way of farming coming at a time when land is continually becoming limited thanks to population pressure and the ever rising cost of commercial feeds that is locking hundred of farmers from accessing the much needed feed.

Though having been in existence for the last 50 years in the world, the country is just warming up to the technology with majority of the over 2million livestock farmers yet to try it. The technology entails the germination of seeds in nutrient rich solutions instead of soil to produce a grass and root combination that is very high in nutrition.

cows.jpg


When Peter Mwangi ventured into dairy farming two years ago, his biggest headache was the high prices of animal feeds. He had bought three Friesian cows for Sh300,000 and the high cost of feeds was quickly dashing his hopes of turning the dairy farm into a money spinner.

"I used to spend almost Sh60,000 monthly to buy commercial feeds from other dairy farmers. I did not have enough land to invest in livestock feeds," said Mr Mwangi.

After consultations and networking with experts, Mr Mwangi, 38, was introduced to a new technology of growing fodder crops that takes four days to mature.

"It's one and a half month since I was introduced to this new technology by a friend. My three cows have increased milk production. I now feed them with less commercial feeds hence saving on cost. The hydroponic technology is cheap to start and easy to run for every farmer," said Mr Mwangi.

He says milk production has increased by five litres every day per cow. Mr Mwangi says he now gets 40 litres of milk and makes about Sh180,000 a month.
 
how much it costs?

Mkuu mbona umekimbilia katika bei?kwa nini usijiulize tu kwanza unaweza kutengeneza vipi huo mtambo kwa kutumia vifaa tulivyonavyo?anyway nnachotaka kusema ni kwamba hapo juu mimi naona vifuatavyo:FENI,8 CONTAINERS,MAINFRAME YA CHUMA,PVC PIPES,na ukiangalia hapo kushoto kwenye hiyo pipe utaona imetoka chini inaenda juu hii inamaanisha somewhere kuna WATER PUMP,naamini vitu vyote hivi vinapatikana na vinatengenezeka kwa urahisi zaidi,kwa mfano kwenye hiyo MAINFRAME ya chuma,sio lazima kutumia chuma,ingewezekana kujenga frem ya mbao na yenye ngazi kama inavyoonekana,hizo containers ni aluminium au plastic unaweza kwenda kwa mafundi sufuria wanakutengenezea hizo containers kwa urahisi kabisa au hata pale ALAF,hizo pipes zipo kwenye maduka ya hardwares kibao,na water pump ndogo kabisa zipo.

"Do not think inside the box or outside the box....just remove the box and think freeely"
 
Mkuu mbona umekimbilia katika bei?kwa nini usijiulize tu kwanza unaweza kutengeneza vipi huo mtambo kwa kutumia vifaa tulivyonavyo?anyway nnachotaka kusema ni kwamba hapo juu mimi naona vifuatavyo:FENI,8 CONTAINERS,MAINFRAME YA CHUMA,PVC PIPES,na ukiangalia hapo kushoto kwenye hiyo pipe utaona imetoka chini inaenda juu hii inamaanisha somewhere kuna WATER PUMP,naamini vitu vyote hivi vinapatikana na vinatengenezeka kwa urahisi zaidi,kwa mfano kwenye hiyo MAINFRAME ya chuma,sio lazima kutumia chuma,ingewezekana kujenga frem ya mbao na yenye ngazi kama inavyoonekana,hizo containers ni aluminium au plastic unaweza kwenda kwa mafundi sufuria wanakutengenezea hizo containers kwa urahisi kabisa au hata pale ALAF,hizo pipes zipo kwenye maduka ya hardwares kibao,na water pump ndogo kabisa zipo.

"Do not think inside the box or outside the box....just remove the box and think freeely"

14084122803_543d8455e0_b.jpg


images
Kenya_1.jpg


Gharama za kutengeneza chakula cha mifungo hautaji kuanza na vitu vya gharama kubwa, muhimu ni kutenga eneo, kisha jenga banda kama la kuku, juu funika kwa plastic pembeni pia funika kwa plastic. Tengeneza vichanja vya miti vya kushikilia tray za bati au plastic. Kichanja kimoja kinaweza kuwa na row tatu, nne, sita au kumi itategemea urefu wa banda lako.

Zipo mbegu na virutubisho vingine unachanganya pamoja kisha unamwaga juu ya tray na kumwagilia maji, baada siku mbili mbegu huchipua na baada ya siku nane tayari unakuwa na malisho kwa mifungo yako. Kumbuka kilimo hiki hakihitaji udongo kuoteshea mbegu.

Ukiwa na banda la futi 20 kwa 10 linatosha kuotesha nyasi za kulisha ng'ombe 50 wakubwa, au kulishia mbuzi zaidi ya 150 kwa mwaka mzima.



0.jpg


48c0dede5a1e164757de75bdac57e9d3.jpg
 
Hizo mbegu na virutubisho vinapatikana wapi? Nataka kuanza ulimaji huu!
 
Maelezo bado yako kiujumla jumla sana. Supply ya mbegu ikoje na kwa gharama ipi?
Environmental condition gani inahitajika maana kuna feni inayohitaji umeme. .

Tuwekeeni procedure tafadhali
 
Natamani sana hii teknologia ila naona changamoto ya mbegu hasa shayiri kwa mimi ninayeishi iringa vijijini ni kubwa.
 
Mtoa mada njoo utoe taarifa ya upatikaji wa mbengu

Mkuu Kijunjwe..... bila shaka yeyote ile mbegu ya Ngano inafanya vizuri sana kama shayiri katika technology hii ya hydroponic foodder

ninao mfano hai na pia jamaa wa kenya nimeshuhudia akitumia ngano.... organic nutrients zinatengenezwa kwa organic wastes, manure na minyoo mywekundu (red worms)
 
Last edited by a moderator:
Hizi mbegu zipo na zinapatikana kwa wingi kilimanjaro(west),inauzwa kilo kuanzia 500-1000 tsh inategemea na msimu,unaweza ukanunua idadi yoyote ya gunia unazotaka alafu unahifadhi,mimi niko dsm nnazo kilo 100 tayari.
 
Hizi mbegu zipo na zinapatikana kwa wingi kilimanjaro(west),inauzwa kilo kuanzia 500-1000 tsh inategemea na msimu,unaweza ukanunua idadi yoyote ya gunia unazotaka alafu unahifadhi,mimi niko dsm nnazo kilo 100 tayari.

Unauhakika? ninavyo jua kule wanalima kilimo cha mkataba na hawalimi kama watu wanavyo lima mahindi, ile ni contract framing na kabla hawajaanza kulima unakuta wameisha kubaliana na mnunuzi na huwa TBL wanafahamu kabisa mkulima fulaini atavuna gunua kadhaa, na bei yao iko juu sana kwa sababu TBL na SBL hufuata mzigo shambani sasa kama unaweza shindana na TBL au SBL sawa
 
You should grow BMR corn silage for maximum production
 
Unauhakika? ninavyo jua kule wanalima kilimo cha mkataba na hawalimi kama watu wanavyo lima mahindi, ile ni contract framing na kabla hawajaanza kulima unakuta wameisha kubaliana na mnunuzi na huwa TBL wanafahamu kabisa mkulima fulaini atavuna gunua kadhaa, na bei yao iko juu sana kwa sababu TBL na SBL hufuata mzigo shambani sasa kama unaweza shindana na TBL au SBL sawa

Mkuu achana na mambo ya kilimo cha mkataba, utabaki unasema kilimo cha mkataba wakati wenzio wanauziwa kama kawaida,nenda kule kipindi cha mavuno alafu jaribu kununua uone kama utasikia kuna kitu kinaitwa "kilimo cha mkataba"nakwambia hivi kwa kuwa mimi binafsi nimenunua.
 
Back
Top Bottom