Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

Ndugu, mimi naomba yeyote aliejenga kile ki "temperature controlled room" for hydroponics anishauri contact za watu wanaoweza kunijengea na kuniuzia zile photo-chemically treated trays. my email is moses.palela@gmail.com
 
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.

Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.

110846c.jpg

Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
DIY-Fodder4.jpg

Kuku wakila hydroponic fedder.

HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
 
Nitajaribu kutoa somo angalau wadau wapate ABC za kuanzia huu ni ujuzi
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.

Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.

110846c.jpg

Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
DIY-Fodder4.jpg

Kuku wakila hydroponic fedder.

HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
 
Hii nzuri wakuu Wa kazi ila niambie Kwa kiswaili oats ni nini na barley nini?
 
nusu ya watanzania tungekua hivi/kutumia electronics zetu kutafta maarifa haya..hakika tungekua mbali?
dah kwel asee. yan najilaum sana kwann cikuijua JF mapema coz mengi nimeanza kuyajua
 
nusu ya watanzania tungekua hivi/kutumia electronics zetu kutafta maarifa haya..hakika tungekua mbali?
dah kwel asee. yan najilaum sana kwann cikuijua JF mapema coz mengi nimeanza kuyajua
 
kaka Martin,

Mimi Najaribu kupata mtu yeyote anaepractice hii hapa dar es salaam, anishauri jinsi anovyo kabiliana na joto la nov-march.
natamani kujua cost effective way ya kujenga the Hydroponic fodder Unit na kupata trays
 
Kwa anaetaka kufahamu zaidi kuhusu Hydroponic farming fungua hizo link za youtube utapata maelezo ya kutosha.

1. Bustani za mboga -
2. Fodder growing:
3. Fodder:
4. Fodder :
5. Hydroponic Fodder :

Hii kitu nahitaji nutrients zake kwa tz tunaweza pata wapi?
 
Ahsante sana Chasha na biashara2000 kwa maarifa mlionipa ya hydroponic fodders kuku wangu wameila kwa mara ya kwanza.
IMG_20160628_093058.jpg
 
Back
Top Bottom