nyamchele
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 1,325
- 1,034
Zipo mkuu, mawasiliano namba 0714018728Hii kitu nahitaji nutrients zake kwa tz tunaweza pata wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo mkuu, mawasiliano namba 0714018728Hii kitu nahitaji nutrients zake kwa tz tunaweza pata wapi?
Mkuu nahitaji shayiri.Wakuu kuna watu walikuwa wanaulizia Shayri, kuna kiasi inapatiakana Arusha kilo ni Tsh 700/ hivyo sema unahitaji kiasi gani, inaweza safirishwa, Shyri ndo recomended kwa ajiri ya Hydroponic fodder kwa sababu ina virutubisho vyote na Kilo 2 ya hydroponic fodder ni sawa na Kilo 1 ya Chakula cha Dukani.
![]()
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.
Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.
![]()
Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
![]()
Kuku wakila hydroponic fedder.
HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Kiongozi hongera kwa kujaribu, hebu tupe na sie Abc tuanzie wapi...Ndio mkuu....
Kuna mbolea ya HYDROPONIC FERTILIZER au HYDROPONIC nutrients ndo inayo tumika,
Ipo huku mbeyaMbolea inapatikana wapi?
Unapatikana wapi Mkuu? Mimi nipo Moshi2-1-6 hii ni kwajili ya carrot na 2nitrogen,1phosphoric na6Mgnisium hii matumizi yake kwa mimea midogo ni kifuniko kimoja kwa lrt moja ya maji hapo sasa inategemeana na ukubwa wa shamba
mkuu nahitaji shayiri naomba contact zakoWakuu kuna watu walikuwa wanaulizia Shayri, kuna kiasi inapatiakana Arusha kilo ni Tsh 700/ hivyo sema unahitaji kiasi gani, inaweza safirishwa, Shyri ndo recomended kwa ajiri ya Hydroponic fodder kwa sababu ina virutubisho vyote na Kilo 2 ya hydroponic fodder ni sawa na Kilo 1 ya Chakula cha Dukani.
![]()
mkuu ,..soya inaumuhimu gani kulishia vifaranga??Let me start by sayn Ive practised hydroponics for more than 2years in Nairobi.Nimehamia Dar and kuna challenges one being hali ya hewa.kuna joto sana na pili nimekosa sehemu ya kununua shayiri(barley).
Hydroponics does well in cooler climates btwn 15°~25° when Dar iko kwenye 30s karibia kila siku.Higher temps inawezesha mould to grow haraka.
Barley is the best cz it grows fast and nutrient content is higher than nafaka mengine
Tried ngano na mtama and results show none is better than the other.
What Id suggest for Dar residents is to add a fan kwenye vyumba vya kuotesha.
Mimi hulisha vifaranga wangu from 2 weeks fodder ya soya hadi week 4..then barley sprouts.
Your comments most welcome.
Kwanza nimetumia mbegu za ulezi ila chakula chake ni kidogo. Pili nikatumia mtama, huo ndo una chakula kingi sana.Mkuu umetumia aina gani ya nafaka?
Natafuta try ni wapi nitazipata?
Uko wapi na una bei gani? mi nahitaji kwa sababu nimeanza kupata watu / wafugaji wanataka niwandalie chakula kwa ajili ya mifugo yao!nauza shayiri gunia mbili kwa anayehitaji