I Advice Wema to ditch this guy, he's not worth it

Naanza shuku #mzimu na Yule aliyemwimba #Fidq #wajinga wanashangaa Martin kadinda ni mtu Mmoja ...haya braza Meneja bishana

Hahaha! Mtakaa tu na Moderator wenu, wa Mimi ni Maimuna! Mtumie PM Moderator wako asione aibu arudishe Original Heading ya Thread yangu, Mtu mzima kesha chemka Hadharani kwa ushabiki wa kijinga.

Hiyo inaitwa, uchi teme wala uchi mumunye!
 
Diamond yuko sahihi kabisaa,
maisha ni kutafuta, sasa kama MTU anaonyesha uvivu wa hali ya juu ni lazima aambiwe.
Mwanamke kujishughulisha atii.
 

Umeongea point nzuri kiufupi umefanya conclusion of this thread.if i were JK i could add u in BMK
 
Nimesomaaa weeee ila dah wema kiukweli karogwa....ivi wewe unadhani alivyotoka na clement vile mume wa mtu...mkewe yupo tu nyumban anaangalia tu....kwakua yeye zezeta huyo mkewe...sindio?wema karogwa au kafungwa na maombi ya wake za wanaume wote aliowalia hela zao...ndo maana maisha yake hayana mwelekeo hata kidogo....wema ni wakujibweteka tu na ataishia ivyo ivyo...labda asomewe dua au anything ya kumsaidia....na pia kua na diamond sio kwamba diamond hawez kumuacha mademu wa mjini wanaroga sana tena sana ili kubaki na vijembe vyao vinavyowaweka mjini....juzi wema alienda kwa mganga na aunty ezekiel kuna watu walimspot...na alitiwa na huyo mganga kuweka zindiko ili diamond akitia hpo aaah mnato tosha yani hawez banduka...alafu diamond is so right yaan nimependa kila ktu alichosema hapo...diamond kaelimika sana tena sana....and time will tell...walikuwepo wakina sinta saivi wako wapi jmaniiii....anajikongoja ila kama angetulia angefanya mengi sana....
 
Diamond yuko sahihi kabisaa,
maisha ni kutafuta, sasa kama MTU anaonyesha uvivu wa hali ya juu ni lazima aambiwe.
Mwanamke kujishughulisha atii.

Umeongea point nzuri kiufupi umefanya conclusion of this thread.if i were JK i could add u in BMK


Mimi sijakataa kua Dimondi yupo sahihi, tatizo ni tabia yake ya kuongelea mambo yake na mwenza wake hadharani. Hii tabia katika mahusiano sio sahihi. Mbona wema yeye kila anavyo semwa hatoi siri zao za ndani. Hicho tu ndio kinacho nikera mimi. Kama ni ushauri, kwani nilazima sisi tujue anamshauri nini. Ndio maana tukasema hua dogo anatafuta kiki kwa jina la WEMA. Mara katoa audio ya Wema akimuomba Msamaha, mara katoa instagram, eti wema anapenda starehe na kubweteka. Yote hayo ya nini? kama penzi limeisha si Mmwagane tu kimya kimya.
 
Waliamua wayafanye mapenz yao yawe hadharani ndo maana.....wema si mpenda publicity na spotlight..dats the feedback u receive....
 

Ni kweli si amshauri huko ndani bwana inaonyesha ana tabia za kiswazi huyu sema tu ni star hawezi acha tabia alizokuwa nazo tandale tena akasema hadi na mambo ya ndimu na sonyo la nguvu hafu sasa ivi kwa vile alienda BET na wapi anamuona Wema si kitu na hapo kashamchoka jambo la ndani unaenda kulitoa public
 
Wanawake wengi wa sasa ni mbu wa kike wanaotunyonya damu tu na kutuachia malaria. Hawana lolote. Waone wapozeeka wanavyohaha.
 
Men! It seems English is a serious Problem here at JF. I'm Sorry guys, you need to go back to school. My Sentence is Grammatically correct for those who know what I'm talking about.

CC. JF members

Man! i cant keep on arguing... ukipata muda fanya Research
 
Man! i cant keep on arguing... ukipata muda fanya Research

Si nime wawekea na ushahidi. Matokeo yake Moderator wako, sijui kasoma wapi hicho kingereza chake, ananichanganyia Madawa kwa kubadilisha heading yangu eti '' I Advice Wema to ditch this guy, he is not worth it''. Nyie watu msinitanie. Hiyo English Mmesoma wapi?. Hiyo Grammer ya wapi?.
 
Kim nana hivi akili zako zimechanganywa na uji wa muogo? Mbona unaongea upuuuuuuuuzi?!!!! Ndo maendeleo hayo? Mxiiiiiiiuuuui


Bolshevick from the Red Army
 
anaesema wema anambeba dimondi anitajie tu nyimbo moja ambayo wema kamtungia,au kamlipia studio,au kampa hata idea basi mimi ntahamia team ubaya at that very second
 

Haya mkuu.
 
Hivi wema yupo jamani maana baada ya lile dongo la shem kawa adim hasa insta zimebaki team zake ndio zinapost tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…