I am a new comer, naombeni mnipokee Ndugu zangu

I am a new comer, naombeni mnipokee Ndugu zangu

Nickson Lema

Member
Joined
Apr 20, 2017
Posts
20
Reaction score
10
2d5c10bd12230e81ea90e6c224fc98e1.jpg
 
Kijana amechanganya madesa anafikiri yupo insta. Nadhani kwa ulivyokuja tuu wewe hautakuwa material humu.
Usijaribu tena kutuwekea sura yako tena we only want your thoughts
 
Na pia uandishi wa kifacebook/instagram huku hautakiwi..

Taratibu za uandishi nadhani unazijua Mangi au sio.?

Jenga hoja za msingi, za maana na zenye mashiko! Epuka mihemko na jazba zisizo na maana.

Yote kwa yote karibu sana...!
 
Back
Top Bottom