Mimi ni mwalimu wa masomo ya Sayansi O-level and A-level,nafundisha Mathematics,Physics na Chemistry. Natafuta Shule ya kufundisha. Yeyote anayeweza kunisaidia anitafute kwa e-mail ifuatayo:johnchriss77@yahoo.com
Mkubwa mbona unamasomo mengi ya kufundisha wakati walimu wa sekondari wana somea kufundisha masomo mawili. Je, ni mwalimu by professional au una elimu tu so unajiita mwalimu, kma by proffessional kuna ajila kwa walimu wa sayansi ni jibu.