I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
aisee mkuu 100%
hongera sana,evelyn fuata huu ushauri na kama yametokea haya pole sana inaumiza sana.
 
kwa afya bora unatakiwa kupata mzigo atleast mara tatu kwa wiki. Cha msingi weka ndani mzigo wa halali ili upate mara tatu kwa wiki. acha mzigo wa kuhemea mitaani.
 
wanawake kama nyie adimu kweli.....huumwi wala hujarogwa wewe....ni kwamba uko kamili dada....namuonea wivu mmeo....
 
unazungumzia wiki wakati mm nikipitisha siku mbili duu, nakuwa hoi,
 
Kiimani utakuwa na pepo,inabidi upate maombezi;kisayansi itakuwa ni vichocheo vya mwili vimekuzidi namna ya kukabiliana ni kuwaona wataalamu;lakini kama haikupi hasara we endelea tu kut...mbn maisha yenyewe ndio haya na raha ni muhimu pia.
 
Duh, mkuu pole sana, kama upo dar tuwe tunachekiana tukusaidie kuondoa stress!
 
Nikiwa dodoma nilikuwa napiga mashine kila siku....
Kuna kipindi hata kukimbia nashindwa, magoti yanaumaa ...

Acha kabisa, kwaheri dodoma!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…