Mwanamke mwenye uke maridhawaNdiyo, na wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke mwenye uke maridhawaNdiyo, na wewe?
Ahsante, nakutakia Idd njemaVizuri kujua.
Kila la Heri!
I miss ueva bhana..😎
aisee mkuu 100%Mara nyingi wanawake waliolazimishwa/ingiliwa kwa nguvu wakati wa utotoni na Wanaume wazima ndo huwa na hayo matatizo, huwa wanakuwa high sex drive, lkn inatibika ni trauma, tafuta clinical psychologist atakusaidia, uwe mkweli na historia ya maisha yako.
Nilishawahi kuwa na demu kama hiyo, baada ya kuona kwamba alikuwa na high sex drive klk kawaida nikaanza kuongea naye pole pole aliponiamini akafunguka na kuniambia kilichomtokea utotoni, inasikitisha sana.
oooh ila ukweli unaujua wewe lakini hapo juu ameongea ukweli kabisa nimeshakutana na tatizo la mtu kama alilo ongeaSijawahi
Hivi unajua kufunguka na kuchafukwa we kiumbe!!! Ni kuwaza ngono tu sio kufanya tofautisheni hapohahaha watu mmechafukwa mnafunguka tu
Hivi mbona mnalazimisha nlibakwa? Okay nilibakwa nkapigwa kitu cha collabo kilikua kitamu.....aisee mkuu 100%
hongera sana,evelyn fuata huu ushauri na kama yametokea haya pole sana inaumiza sana.
Nnavojua mtu akifanyiwa sexual abuse hawezi kupenda dudu kabisa, nyie ni wanasayansi new versionoooh ila ukweli unaujua wewe lakini hapo juu ameongea ukweli kabisa nimeshakutana na tatizo la mtu kama alilo ongea
unazungumzia wiki wakati mm nikipitisha siku mbili duu, nakuwa hoi,Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.
Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh
Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Mwenza kunani tena?
JF NI bureAisee hapana. Alipie tangazo kwanza
Duh, mkuu pole sana, kama upo dar tuwe tunachekiana tukusaidie kuondoa stress!Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.
Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh
Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
JF NI bure
Humwelewagi Barbarosa alivo na mambo ya kishoga shoga ee😅? CCM huyoKumbe wewe ni mwanamme!!!