I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Wew wapenda vingap babyto
 
Pombe walau inasahaulisha ila ukiinywa kipindi cha joto jiandae kuliwa na yeyote maana mwili unakuwa unahitaji wakati akili haina kijiulizi

Pombe ukiinywa karibu na dudu la yuyu unalopenda aaaah hapo mwake

Sasa tusiokunywa pombe, urembo hatupo ukiwa umetulia km weekend yeeeeeeeeee mawazo ni dudu la yuyu tu na wengi starehe huwa ni ngono,,, katika masaa 24 ya siku kuna masaa kadhaa unawaza kutiombwa,,, hii ni kila siku haipiti siku bila kuiwaza ngono
Nimeamini leo wanywa pombe wanawake tuna raha...dah..mm ht nipige vyupa vip sinaga hamu na sex kbs
 
Nnavojua mtu akifanyiwa sexual abuse hawezi kupenda dudu kabisa, nyie ni wanasayansi new version
aaah hapana hivi hujiulizi kama mtoto wa kike au mdada amebakwa mara ya kwanza huwa mara nyingi wanapata tatizo hilo tena?
sio kwamba wanahitaji hapana bali ni hali ambayo hawezi kuizuia na mara nyingi huwa ni waoga kwa wanaume ila wanapenda kufanya hilo tendo
 
Video ya mahaba ya Nandy na Willy Paul jukwaani hii hapa >>> hauko peke yako wenzio hawa
 
Kama Mimi, nimekuwa na hilo tatizo hadi wanawake huwa sidumu nao kwenye mahusiano,yaan n zaid ya chakula.huyu niliyenae mwanzo alikuwa km wewe ila sasa kaanza kuchoka
Wanachoka kweli, hata huyu unaweza kuta hamna kitu.

Mbwembwe zote hizi sijui am addicted sijui nini lkn ukimbutua ipasavyo ndani ya masaa 24 utashangaa wiki nzima anakukwepa.

Kiasili wanaume tumeumbwa na manguvu zaidi, ndiyo maana nature na dini imeruhusu kuoa wengi.

Kimsingi kama huyu hata wakiwa watatu napiga threesome na kesho yake hamna hata mmoja atakayetaka kuguswa tena, vyote vinawaka moto
 
Pole sana namie na tatizo kama lako njoo nikumiminie mbegu japo najua utakua umenizidi umri ila ntakutibu
 
Njoo niwe tiba ya tatzo lako
 
Ila we evelyn nakupendaga kitambo sana..
 
hahaha umenikosha sana kwenye huu Uzi kaisiki wange
 
Wanawake kama nyie ndo mnafaa kwa matumizi ya ndoa sio wengine mara nimechoka,mara najisikia vibaya visababu sababu vya kijinga tuu,, hongera kwa kuwa na hamu muda wote bidada.ila kuwa makini hawakawii kukula mpaka jicho.[emoji23]
 
hii nayo diva kaiba duuuu... 🤣 🤣
 

Nipatie namba yako nikusaidie!!! 😉
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…