I am addicted to sex

I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?

Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.

Alamsik....
Mtafte kondeboy
 
Mara nyingi wanawake waliolazimishwa/ingiliwa kwa nguvu wakati wa utotoni na Wanaume wazima ndo huwa na hayo matatizo, huwa wanakuwa high sex drive, lkn inatibika ni trauma, tafuta clinical psychologist atakusaidia, uwe mkweli na historia ya maisha yako.

Nilishawahi kuwa na demu kama hiyo, baada ya kuona kwamba alikuwa na high sex drive klk kawaida nikaanza kuongea naye pole pole aliponiamini akafunguka na kuniambia kilichomtokea utotoni, inasikitisha sana.
Siyo kweli, ni kinyume chake ndio sawa!
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?

Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.

Alamsik....
Wewe cha kufanya hapo anxisha mahusiano na wahun wa mtaan itafuah mwenyewe
 
Inaweza kuwa ni normal

Kuna mtu mzima mwenzangu nae alikuwa analalamikia hili jambo
Ni kawaida , iko hivi Mwanamke Akifika Umri wa kuanzia miaka 30s mwili wake unaongezeka Sana mihemko anakuwa anahamu Sana ya kusex, na huo umri wa kuanzia miaka 30s ndio umri ambao Mwanamke akisex huwa anapata raha ambayo hajawahi kuipata akiwa chini ya huo umri, Raha hiyo anayoipata na ongezeko la mihemko ndio huwa sababu ya kumfanya awe addicted na sex

, so usiombee awe addicted halafu ampate mkunaji mzuri hapo ndio balaa huwa linaanza , ndio maana unaweza kukuta wanawake wanaoanzia umri huo baadhi Yao Wana date na Wanaume ambao Ni wadogo kiumri kwao, Au Wana date na Mwanaume ambaye kipato chake Ni Cha chini kuliko wao, Yote Ni kwa sababu wanachojali wao ni kuridhishwa kutokana na mihemko waliyonayo na sio vinginevyo
 
Kama unapenda na unapata miti unavyotaka kuna shida gani? Endelea kutwangana tu.. hata mi sina simile kwenye pussy. Ni kutwanga tu.
 
Mungu aliyeng'aa mioyoni mwetu, atuwezeshe kufahamu ubaya wa dhambi na kutambua huruma yake tafuta Amodiaquine syrup3x6
Cipromycine saporg 3x6
Gentamycine DTV 4X12
Hakikisha dozi husika unameza ukiwa umeinama uchi upande wa mashariki, naitwa dokta mabolo kutoka Taiwan
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom