I am addicted to sex

I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Binafsi sioni kama ni tatizo;

But one thing you should take care is how to handle the situation..

Kwa haraka haraka nimeona haujaingia kwenye maisha ya ndoa bado. Kama hujafikia hatua hiyo jaribu kuwa na partner mmoja mwaminifu.

Ni vema ukimpata mtu ambae pia ni addicted ili mfanye asubuhi na jioni na kadri mnavyoona. .

Kama hauna partner wa kudumu jaribu uwe nae manake kuonja onja mboga kila mahali na hiyo hali sio salama pia..

Mwisho , fanya mapenzi kila mara unapotaka...kama ni kijana wa 26-35 ndio watu huwa wako kwenye peak kingono.. make it your daily bread and enjoy
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Ni addiction tu kama addiction nyingine na kwenye hili sidhani kama unanifikia hata nusu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Pole sana...

S.e.x drive yako ipo very high...

Unahitaji mwanaume mwenye hulka kama zako, awe ana kusex kila muda au mahali popote pale, bafuni, chooni, chumbani, sebuleni, kwenye corridor, jikoni hata nyuma ya masofa...


Cc: mahondaw
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom