I am addicted to sex

I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
pole sana....ukiwa nahamu uwe unanikumbuka na mimi...niwe nakupunguzia japo kwa wiki mara moja....umeandika maandishi yenye kushawishi kupima oil kama yalioongelewa yamo kweli...
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....

Bad girl gone good..then gone bad again!


My girl....
 
Nilikua na mpenzi wa namna hiyo, nadhani ni genetics lakini pia ni hobby kama wengine wanavyopenda kuangalia movie etc. Nilimpenda kwasababu alikua wazi tangu siku ya kwanza na pia yuko active sana linapokuja suala la sex kiasi kwamba mwanaume haumchoki, sijawahi kumhukumu kwa hilo japo huwa nawaza atakapoolewa na mume akawa busy na mihangaiko ya maisha nini kitatokea
 
mmoja tu ndo iwe mara nyingi?
ukweli ni kuwa sexual abused kuwa na high sex drive ni kinyume kama chumvi na sukari!
huyo wako ulikuwa tu unampa mambo vizuri akakuelewa!


Siyo lazima iwe hivyo lkn mara nyingi huwa hivyo hasa wale waliokuwa abused utotoni, Wanawak namna hiyo huwa hawana self control hasa kwenye mambo ya sex, ulevi, na wengine hata madawa ya kulevya na mambo mengine haribifu, sasa inategemea kama asipolowea kwenye sex basi atakuwa kwenye pombe, kama siyo pombe madawa lkn kimoja wapo huwa ni karibia lazima na hufanya hivi ili kuweza kama kupoteza mawazo pindi wapatapo kumbukumbu ya kile kilichowatokea, huwa hawajipendi na kujiona kwamba hawana thamani na hivyo kufanya wanavyofanya.
Ni kama tu vijana ambao huwa mashoga, sababu mara nyingi huwa ni hiyo walivyokuwa watoto walionewa shuleni na vijana wenzao na kulazimishwa, mashoga wengi wana hiyo stori au wengine walikuwa Jela, walikwenda wakiwa wazima walipofika huko wakabakwa na wanaume wenzao na kurudia mara nyingi wakitoka wanakuwa mashoga kupitiliza, na ndo maana zamani mashoga walikuwa wanafanyiwa therapy na kupona, ushoga ilikuwa ni ugomjwa ila siku hizi wamepiga marufuku kuwanyia mashoga therapy na kuwatibu.
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom