I am addicted to sex

I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Itakuwa haukojoleshwi mama. Ukikojozwa hamu inaisha kabisa, nshawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke wa dzain yako. Ilkua ni kutwa mara 3. Nilipokuja kumpatia vizuri (kumfikisha) akakaa sawa kabisa. Tafuta wa kutulia nae akupatie vzur tatzo litaisha jaribu aina tofaut tofaut za mikao ipo siku utapata inayokufikisha kunako.
Usitujibie swali!
KAMA HUFANYI KAZI YAKO VIZURI USITEGEMEE UTAGANDWA AISEE!
tunakutizama hivi!
mwanaume anayetamaniwa ni yule anayejua kazi yake!
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Mwalimu, tukutane butimba june hii😀😀😀
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Mbona nilitaka ukanishaua?
 
Hili ni tatizo linatukumba watu wengi tusiokunywa pombe, kuvuta sigara ama kutofanya mazoezi, hata kama una majukumu kuna muda wa kupumzika kama kulala nk, huo muda sasa kichwa kinawaza kuliwa tu, nyege zinapanda mpaka unajikuta unajirembulia mwenyewe tu

Nini kifanyike sasa!! Ni kumpa mzee agonge shida inakuja km mzee yuko biiize na hajakusoma au nae ndo wale wa kimoja anaanza kukoroma
kapiece bwana
 
Mimi na mke wangu haiwezi kupita siku mbili bila kupiga kazi kwa 6*6 wenda mmoja wetu awe amesafiri. Sasa nashangaa unavyosema unaweza kumaliza wiki alafu unasema kua.addict na sex. Sisi tulipiga mchezo adi wiki moja kabla ya wife kwenda kujifungua.

Yaani wife anataka na mimi ninataka; basi sisi tutakua tunaumwa wote.
 
Mimi na mke wangu haiwezi kupita siku mbili bila kupiga kazi kwa 6*6 wenda mmoja wetu awe amesafiri. Sasa nashangaa unavyosema unaweza kumaliza wiki alafu unasema kua.addict na sex. Sisi tulipiga mchezo adi wiki moja kabla ya wife kwenda kujifungua.

Yaani wife anataka na mimi ninataka; basi sisi tutakua tunaumwa wote.
Bora nyie week, nlifanya leo kesho nkaenda kujifungua
 
Mada kurupushi hizi, ila mko wengi.. Wifi yako yeye haipiti siku hajahitaji.. Akiwa kwenye days zake atleast naweza kunywa gahawa kwa Makame baada ya kukamuliwa mpk mbegu za akiba!
 
Wewe fanya tu..kama wakukidhi hamu zako yupo na mmeridhiana hamna tatizo....kama ungesema kwamba muhusika anashindwa kazi basi hapo kungekua na tatizo..lkn kama unanyegeka na mtu wa kukunyegenyua yupo...hamna tatizo...endelea kuenjoy maisha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom