I am addicted to sex

I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Kwa Upande wangu nafikiri kitakachokutoa hapo ni wewe kuwa mcha Mungu zaidi. ni hii itakuwa nzuri kama tayari unaye mmoja unayeishi naye au boyfried. Katika hali ya kawaida hii itakuwa ngumu sana hasa ukichukulia maisha ya sasa ambayo hata sisi wanaume uwezo wa kufanya hii kitu unapungua sana kutokana na hali ya maisha ya sasa. Kama ni mkristo jitahidi uwe unaenda maombi ya mara kwa mara hata ikiwezekana jiunge na kikundi cha kwaya ya kanisa hii kitu itaisha. Kama unapenda kujirusha forget kumaliza hii kitu otherwise uwe na wanaume watano kama siyo saba..Kila la heri
Huyo akienda kwenye kwaya.....watatafuna vidume wote had mpiga gitar
 
Usifanye masihara hiyo kitu ina raha yake bhana. Tena pale unapoanza kujitengemea ni shida kwetu watoto wa kiume ni kuvuta mzigo uwezavyo
 
Huu uzi ni kama vile nimeingia saluni ya kike!

Life is short anyway, F@ck while you still can!
 
Naliona foleni la pm huu uzi sio salama kabisa...
 
Mim sijui ni tatizo au vipi, mwenzenu nakua na hamu saaaana jamaa akiwa mbalii, yaan huwa nateseka mno. Ila akishafika sasa hamu yote inaisha, nakua sihitaji tena kugegedwa, hili ni tatizo au??
 
Mim sijui ni tatizo au vipi, mwenzenu nakua na hamu saaaana jamaa akiwa mbalii, yaan huwa nateseka mno. Ila akishafika sasa hamu yote inaisha, nakua sihitaji tena kugegedwa, hili ni tatizo au??
Mmmh hauna mimba kweli?pole
 
Nenda kapime hormone LH, FSH, progesterone, ostrojen, baadaye utartbu mwngne utfuata
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Naomba kujua, unatombwa na mmoja au zaidi ya mmoja?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom