I am in love with my brother


Njoo pm nikupe ushauri sababu hata mm limeshawai kunitokea janga kama hilo lako! Ila kwangu ilikuwa mm na mtt wa mama mkubwa,

Tulikuwa in love takribani miezi saba! tulifanya siri sana lakini jinsi cku zilivyokuwa zinaenda mambo yalipamba moto tukajijuta tunajisahau sababu mtoto alitokea kunipenda sana, na cdhan kama ipo cku nitakuja kumpata mwanamke mwenye upendo wa kweli kama ule.

yan alikuwa ananipenda mpaka inafikia kipindi nikimuona kwa mbali anakuja namkimbia! hadi ikafikia kipindi wazee wakaanza kuhisi kitu baina yangu na huyo cjui ndo alikuwa binamu au dada mi sielewi. Basi ilibidi waanze kuchunguza kuna nn kinaendelea kati yetu! Kweli bwana kama unavyo jua mapenzi hayanaga siri, katika uchunguzi wao wa hapa na pale walifanikiwa kubaini Ukweli kwamba sisi ni wapenzi..! Ila nakubaini kwao walikuwa wamesha chelewa sababu mwenzangu alikuwa ana mimba ya miezi miwili!!

Je, unajua nn kilitokea? Na je, unajua kwa sasa naishi vp? Njoo faster pm sababu hapa papalazi wengi.
 
Duh we jamaa wewe inawezekana hata hii strory yako ni fabricated ili umnase binti wa watu. Kwanini usiweke mambo hadharani kila mtu asome na afaidike na ushauri wako?
 
Forbidden romance stories are quite intriguing. I am literally dying to hear more. Pleaase keep us updated if you dont mind.My advice is run as fast as your legs can carry you. Start a life far from him. Give yourself space and time. Time will eventually heal you.
 
Duh we jamaa wewe inawezekana hata hii strory yako ni fabricated ili umnase binti wa watu. Kwanini usiweke mambo hadharani kila mtu asome na afaidike na ushauri wako?

Jamaa ni ana low techniques, pia low IQ yaani nilitumiaga zaman hizo techniques kule fb
 
Tatizo mlianza mchezo wa baba na mama mpaka ukajisahau,na wewe olewa utamsahau
 

We ni pepo mchafu!!!!!!!!
 
MPE VITU ale, haina shida kabisa, yaani umpe mtu mwingine baki , wakati braza yupo, vitu vizuri mtu ula na nduguze
 
How to get away with a murder

[emoji1435][emoji1435][emoji1435][emoji1435][emoji1435][emoji1435][emoji1435]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…