kajirita kwa sababu kuna magereza, basi tufanye tu uhalifu ili tukayajaze au sio?
It is just me and my bro in my family. We grew up together went through the same schools ingawa amenizidi 2 years. Alivyomaliza 0-level akaniacha kwenye hiyo shule.
Akawa anataka kwenda another school A-Level nilihitaji aendelee in the same school but haikuwa hivyo. I developed feelings for him since na sijawahi kumwambia na baada ya mimi kumaliza chuo ndio feeling nae zikazidi.
He is so cute yaani nampenda more than a bro, kuna mda nipo kwenye relationship I dont even feel it, cha ajabu yeye anafurahia na GF wake na hajui kiasi gani naumia. Sina raha nikimuona na mwanamke mwingine.
Najua hawezi kunioa mimi, lakini kwanini dunia haipo fair? Mbona watoto wa Adam and Eve walioana, hata Isack alimuoa Rebecca ndugu yake, sasa anataka kuoa ndio ananimaliza kabisa.
Jamani naombeni mnishauri kuhusu hili tatizo
Njoo pm nikupe ushauri sababu hata mm limeshawai kunitokea janga kama hilo lako! Ila kwangu ilikuwa mm na mtt wa mama mkubwa,
Tulikuwa in love takribani miezi saba! tulifanya siri sana lakini jinsi cku zilivyokuwa zinaenda mambo yalipamba moto tukajijuta tunajisahau sababu mtoto alitokea kunipenda sana, na cdhan kama ipo cku nitakuja kumpata mwanamke mwenye upendo wa kweli kama ule.
yan alikuwa ananipenda mpaka inafikia kipindi nikimuona kwa mbali anakuja namkimbia! hadi ikafikia kipindi wazee wakaanza kuhisi kitu baina yangu na huyo cjui ndo alikuwa binamu au dada mi sielewi. Basi ilibidi waanze kuchunguza kuna nn kinaendelea kati yetu! Kweli bwana kama unavyo jua mapenzi hayanaga siri, katika uchunguzi wao wa hapa na pale walifanikiwa kubaini Ukweli kwamba sisi ni wapenzi..! Ila nakubaini kwao walikuwa wamesha chelewa sababu mwenzangu alikuwa ana mimba ya miezi miwili!!
Je, unajua nn kilitokea? Na je, unajua kwa sasa naishi vp? Njoo faster pm sababu hapa papalazi wengi.
Forbidden romance stories are quite intriguing. I am literally dying to hear more. Pleaase keep us updated if you dont mind.My advice is run as fast as your legs can carry you. Start a life far from him. Give yourself space and time. Time will eventually heal you.It is just me and my bro in my family. We grew up together went through the same schools ingawa amenizidi 2 years. Alivyomaliza 0-level akaniacha kwenye hiyo shule. Akawa anataka kwenda another school A-Level nilihitaji aendelee in the same school but haikuwa hivyo. I developed feelings for him since na sijawahi kumwambia na baada ya mimi kumaliza chuo ndio feeling nae zikazidi.He is so cute yaani nampenda more than a bro, kuna mda nipo kwenye relationship I don¡¯t even feel it, cha ajabu yeye anafurahia na GF wake na hajui kiasi gani naumia. Sina raha nikimuona na mwanamke mwingine.Najua hawezi kunioa mimi, lakini kwanini dunia haipo fair? Mbona watoto wa Adam and Eve walioana, hata Isack alimuoa Rebecca ndugu yake, sasa anataka kuoa ndio ananimaliza kabisa.Jamani naombeni mnishauri kuhusu hili tatizo
Duh we jamaa wewe inawezekana hata hii strory yako ni fabricated ili umnase binti wa watu. Kwanini usiweke mambo hadharani kila mtu asome na afaidike na ushauri wako?
Stay away from him huo ulimbukeni uishe. Halafu hiyo unayoita love itabadilika na kuwa affection!
Mmh sasa dunia inashangaa maajabu yake!!
Sio affection, she must show him a kind of Agape LOVE, brother and sister
It is just me and my bro in my family. We grew up together went through the same schools ingawa amenizidi 2 years. Alivyomaliza 0-level akaniacha kwenye hiyo shule.
Akawa anataka kwenda another school A-Level nilihitaji aendelee in the same school but haikuwa hivyo. I developed feelings for him since na sijawahi kumwambia na baada ya mimi kumaliza chuo ndio feeling nae zikazidi.
He is so cute yaani nampenda more than a bro, kuna mda nipo kwenye relationship I don't even feel it, cha ajabu yeye anafurahia na GF wake na hajui kiasi gani naumia. Sina raha nikimuona na mwanamke mwingine.
Najua hawezi kunioa mimi, lakini kwanini dunia haipo fair? Mbona watoto wa Adam and Eve walioana, hata Isack alimuoa Rebecca ndugu yake, sasa anataka kuoa ndio ananimaliza kabisa.
Jamani naombeni mnishauri kuhusu hili tatizo
MPE VITU ale, haina shida kabisa, yaani umpe mtu mwingine baki , wakati braza yupo, vitu vizuri mtu ula na nduguzeIt is just me and my bro in my family. We grew up together went through the same schools ingawa amenizidi 2 years. Alivyomaliza 0-level akaniacha kwenye hiyo shule.
Akawa anataka kwenda another school A-Level nilihitaji aendelee in the same school but haikuwa hivyo. I developed feelings for him since na sijawahi kumwambia na baada ya mimi kumaliza chuo ndio feeling nae zikazidi.
He is so cute yaani nampenda more than a bro, kuna mda nipo kwenye relationship I don't even feel it, cha ajabu yeye anafurahia na GF wake na hajui kiasi gani naumia. Sina raha nikimuona na mwanamke mwingine.
Najua hawezi kunioa mimi, lakini kwanini dunia haipo fair? Mbona watoto wa Adam and Eve walioana, hata Isack alimuoa Rebecca ndugu yake, sasa anataka kuoa ndio ananimaliza kabisa.
Jamani naombeni mnishauri kuhusu hili tatizo
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahivi hizi mada huwa ni za kweli kabisa au furahisha genge?