JiranI hakuna cha maana ninachangamsha genge.jumatatu ni ndefu sana kuishaMhmhmh jirani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumeanza kufichana tangu lini
Nimekupata mkuuUkiendekeza mapenzi yanayoanza kuumiza unawezapoteza furaha.maisha ni mafupi jamani😅😅
Good to heat thatTulianza kupendana na handsome boy wangu kabla hatukakutana, tulikua tayari ni bestfriends, alihisi nilichohisi mimi,
Siku ya kwanza tunakutana(6 November,2019) nilikua so excited, nilikuwepo katika safari yake yote hadi anafika kwenye mikono yangu, alilia kwa furaha aliponiona, nilimkumbatia na makiss tele tele,
Until then, he is a man i fall in love with, my hero, my one and only, i'd sell the world for him (hapa itabidi mtafute pa kuishi, lol).
Hio hadi warekebishe Mods nadhaniRekebisha heading:
Tumia "I'm in love" au "I am in love"
Waombe wakurekebishieHio hadi warekebishe Mods nadhani
Chakorii bebe😅😅asante
Napenda sana,miyeyusho ikizidi nyongo inaingia ghafla.