Going to financial institution was my first option but it is delayed due to delay in obtaining my title deed which would be as collateral, however getting an equity partner has more advantage than borrowing in business sense.If you had all that why not direct yourself to the financial institutions?
Are u sure this is not a 419?
Going to financial institution was my first option but it is delayed due to delay in obtaining my title deed which would be as collateral, however getting an equity partner has more advantage than borrowing in business sense.
Sasa wewe huoni kwamba ukipata partner ni kwamba inapotokea faida imepatikana inabidi mgawane na unapata kidogo, ila ukisubiria huo mkopo na kuupata ukiufanyia biashara faida yote yako!
salama mkuu. Ingawa sijaulizwa mimi lakini jibu rahisi ni kwamba. ukikopa bank kuna riba (cost of capital) ukipata partner anakuja na mtaji wake Equity (dividend unayompa ni sawa na cost of capital) lakini ujue mkopo unambwembwe nyingi zaidi ya riba na usumbufu mwingineo. ikitokea kuna shida ya kibiashara utatakiwa kutoa maelezo mengi kwa bank kuliko kumweleza business partner. hivyo hapa anatakiwa kuangalia huyo partner contribution yake ni cheap kuliko mkopo ama mkopo ni cheap kuliko business partner.
Mkuu mambo yanakwenda vipi. I am interesting kuhusu hii issue boss. Nimekutumia msg hapo.
Mkuu nashukuru, umempa jibu nzuri, Equity partner ni tofauti na any lender, faida mnagawana kulingana na equity contribution yenu, au mtakavyokubaliana. Ila Lender anataka pesa yake + Interest regardless una faida au hauna. and in case of any failure in Business kwa upande wa mkopo ni lazima wachukue nyumba yako au dhamana ingine ulioweka.Alafu partner anaweza kudumu kwa muda fulani akirudisha pesa yake na faida anaweza kuondoka akakuuzia hisa zake ukaendelea peke yako
salama mkuu. Ingawa sijaulizwa mimi lakini jibu rahisi ni kwamba. ukikopa bank kuna riba (cost of capital) ukipata partner anakuja na mtaji wake Equity (dividend unayompa ni sawa na cost of capital) lakini ujue mkopo unambwembwe nyingi zaidi ya riba na usumbufu mwingineo. ikitokea kuna shida ya kibiashara utatakiwa kutoa maelezo mengi kwa bank kuliko kumweleza business partner. hivyo hapa anatakiwa kuangalia huyo partner contribution yake ni cheap kuliko mkopo ama mkopo ni cheap kuliko business partner.
Inavyoonekana wewe tayari ushaweka possibility kwamba biashara yako itakufa ndo maana unaogopa kwamba nyumba yako itachukuliwa. Kama ungekuwa unajiamini na unachofanya na una uhakika na unachofanya sidhani kama ungekuwa una hofu ya biashara yako kufa na ungechukua huo mkopo benki na kuufanyia mambo na kurudisha interest yao.
Interest bank inayotaka kutoka wenye mkopo waliokupa ni sawa tu na faida ambayo equity partner ataitaka, so kuchukua mkopo bank na kupata partner yote sawa tu maana hata kama mimi ni partner nimekuja kuungana na wewe hata mimi nitataka kujua usalama wa investment yangu.
Mkuu nashukuru, umempa jibu nzuri, Equity partner ni tofauti na any lender, faida mnagawana kulingana na equity contribution yenu, au mtakavyokubaliana. Ila Lender anataka pesa yake + Interest regardless una faida au hauna. and in case of any failure in Business kwa upande wa mkopo ni lazima wachukue nyumba yako au dhamana ingine ulioweka.Alafu partner anaweza kudumu kwa muda fulani akirudisha pesa yake na faida anaweza kuondoka akakuuzia hisa zake ukaendelea peke yako
Kukopa ni kuzuri hasa ukiwa umeforecast vema profit yako, ila business partener naye ni mzuri ila sio rahisi kupatikana kama ilivyo kupata mkopo kwakuwa naye itabidi afikirie kwanza atanufaikaje na kuhusu risks.