Naleta kwako wewe utaamua ujipendelee kuipokea au umpe mtoa mada.Unaleta kwangu ama unapeleka kwa mleta uzi??
Naleta kwako wewe utaamua ujipendelee kuipokea au umpe mtoa mada.
sitaki kujipendelea ,twende tupeleke kwao mleta uzi kama kweli uko serious.π
Yaani uzi alete mwingine, posa upeleke kwa mwingine is that fair ??, acha tabia mbaya umeanza lini?Nipo siriasi naleta kwako. Hamna kubadili gear
Nmesema hii id ya mleta mada ni yako. Sasa kudanganya umeanza lini.Yaani uzi alete mwingine, posa upeleke kwa mwingine is that fair ??, acha tabia mbaya umeanza lini?
Neno Kuzurura Aliwahi Kuambiwa Mwigulu Wakati AnatumbuliwaMbona ni mkorofi sana weweπ, acha hizo nenda pm umri wa kuoa umefika unazurura tuu
Heeπππ sumbai oa acha uzururajiiNeno Kuzurura Aliwahi Kuambiwa Mwigulu Wakati Anatumbuliwa
Watu Wanakufa Wewe Hutoi Pole Kazi Yako Kuzurura!!!ππ
Haya bana ,basi njoooNmesema hii id ya mleta mada ni yako. Sasa kudanganya umeanza lini.
Pokea posa bwana. Au ndio hutaki
sie wengine bado wat..omba.ji tu
Usitoe mashatri magumj Kz ni kz hapa kz tu hora mkono up de kinywaniHabari wapendwa. Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 32. Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza jukwaani kutafuta mume kwenye Nia ya kweli.
Uwe Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Uwe na Umri kuanzia 35-49.
Uwe na shughuli halali ya kuingiza kipato.
Karibuni Pm iko wazi.
Asanteni.
Hata akiwa drug dealer?jambazi ?Usitoe mashatri magumj Kz ni kz hapa kz tu hora mkono up de kinywani
Mimi natafuta jimama la kuishi nalo nitampa raha zote awe ananihonga mahera.
Hahahahaha [emoji23] [emoji23], acha ufalaNaleta kwako wewe utaamua ujipendelee kuipokea au umpe mtoa mada.
Wajna [emoji23]Mi nina kazi fresh tu yaani niko vizuri.....tatizo ni na kibamia vipi tutawezana na wewe mbona unaandika shughuli yako