I am looking for a Husband

I am looking for a Husband

Nipo siriasi naleta kwako. Hamna kubadili gear
 
Mimi natafuta jimama la kuishi nalo nitampa raha zote awe ananihonga mahera.
 
Mi nina kazi fresh tu yaani niko vizuri.....tatizo ni na kibamia vipi tutawezana na wewe mbona unaandika shughuli yako
 
Habari wapendwa. Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 32. Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza jukwaani kutafuta mume kwenye Nia ya kweli.

Uwe Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Uwe na Umri kuanzia 35-49.
Uwe na shughuli halali ya kuingiza kipato.

Karibuni Pm iko wazi.

Asanteni.
Usitoe mashatri magumj Kz ni kz hapa kz tu hora mkono up de kinywani
 
Mimi natafuta jimama la kuishi nalo nitampa raha zote awe ananihonga mahera.

Dogo tafuta hela mapema iwezekanavyo ili ufaidi mema ya hii nchi kama sisi wakubwa zako! Hizo ndoto za asubuhi za kutunisha boksa huku ukiyawazia majimama yenye hela na maumbo ya kutatanisha, zitakuchelewesha sana kuufikia uchumi wa vi-wonder. Shauri zako.
 
Back
Top Bottom