I am Looking for Friends Who speak English

I am Looking for Friends Who speak English

Kama wewe ni "ke" utatoa papuchi tukiwa tuna discuss kwa ngeli?
 
Tunakoelekea sio kuzuri. Kuna watu wanadhani watakua wapinzani daima. Hivi kosa la rais kwa tukio la juzi ni lipi mpaka ataukanwe? kuzuia maandamano? ni utawala gani utakaoruhusu maandamano ambayo hata taarifa ya saa 24 haijatolewa? kuna watu wanadhani wanaishi Ulaya wakati wako Tanzania. Huko Marekani kwenyewe tumeona mala ngapi watu wakiuwawa na polisi tena kweupeeee. hebu huyo mange amtukane trump weusi wakiuawa na polisi kama ataendelea kukaaa marekani. Kuzuia maandamano ilikua sahihi kisheria ila kutumia silaha ya moto ni makosa kabisa kisheria. Sasa sijui mnataka rais angeenda yeye maana polisi hawaminiki wanaweza kutumia silaha za moto? Hivi mkishinda uchaguzi mtaongoza nchi gani ya bila sheria na taratibu? Napenda watu wanajua historia duniani, haya mambo huwa yanabackfire vidhuri. Lowasa na sumaye mashahidi, walipokua ccm walikua wanahusika kukandamiza upinzani leo wako upinzani wanakandamizwa. Hiyo nchi ya holela hakuna atakayeweza kuiongoza. Hebu kosa la polisi liwe la polisi na la rais liwe la rais. Tusijitoe ufahamu. Labda kama kuna watu watakua wapinzani daima.
 
Tunakoelekea sio kuzuri. Kuna watu wanadhani watakua wapinzani daima. Hivi kosa la rais kwa tukio la juzi ni lipi mpaka ataukanwe? kuzuia maandamano? ni utawala gani utakaoruhusu maandamano ambayo hata taarifa ya saa 24 haijatolewa? kuna watu wanadhani wanaishi Ulaya wakati wako Tanzania. Huko Marekani kwenyewe tumeona mala ngapi watu wakiuwawa na polisi tena kweupeeee. hebu huyo mange amtukane trump weusi wakiuawa na polisi kama ataendelea kukaaa marekani. Kuzuia maandamano ilikua sahihi kisheria ila kutumia silaha ya moto ni makosa kabisa kisheria. Sasa sijui mnataka rais angeenda yeye maana polisi hawaminiki wanaweza kutumia silaha za moto? Hivi mkishinda uchaguzi mtaongoza nchi gani ya bila sheria na taratibu? Napenda watu wanajua historia duniani, haya mambo huwa yanabackfire vidhuri. Lowasa na sumaye mashahidi, walipokua ccm walikua wanahusika kukandamiza upinzani leo wako upinzani wanakandamizwa. Hiyo nchi ya holela hakuna atakayeweza kuiongoza. Hebu kosa la polisi liwe la polisi na la rais liwe la rais. Tusijitoe ufahamu. Labda kama kuna watu watakua wapinzani daima.
Umekosea njia mzee...[emoji20][emoji20][emoji20]
 
Umekosea njia mzee...[emoji20][emoji20][emoji20]
Ujumbe umefika, kama mnadhani manishi kisiwani sawa. Ila angalia nchi zote ambazo upinzani ulitumia holela kuingia madarakani kama wao hawajakumbwa na hiyo holela. Unaijua historia ya Madagascar? Tunisia je? Misri? Ukraine? Georgia? Parkistani? Kama hujui mifano hata mmoja hapo huna haja ya kuendelea kujibu, rudi shule
 
Hello Friends, I live in Arusha I would like to get friends who speak English fluently, I am an intermediate user so i wanna boost my speaking Skills, I have friends out of my country and i always do communication with them, For now i need the friends who are nearby so that It will be easily to meet and Discuss some issues, If I will get someone who English is his or her first language will be more Good, Anybody interested Just pm
It seems you have abandoned your own thread okay have a good time!!
Mr. Skull
 
Hello Friends, I live in Arusha I would like to get friends who speak English fluently, I am an intermediate user so i wanna boost my speaking Skills, I have friends out of my country and i always do communication with them, For now i need the friends who are nearby so that It will be easily to meet and Discuss some issues, If I will get someone who English is his or her first language will be more Good, Anybody interested Just pm
Wajameni assist me Ras Simba location....
 
Hello Friends, I live in Arusha I would like to get friends who speak English fluently, I am an intermediate user so i wanna boost my speaking Skills, I have friends out of my country and i always do communication with them, For now i need the friends who are nearby so that It will be easily to meet and Discuss some issues, If I will get someone who English is his or her first language will be more Good, Anybody interested Just pm
I can see You're in an awesomely dandy level of learning, (Though some errata are somewhat dreadful).

And Tis solely a few of you who open manifest come forth beseeching a pull up.
I unfeignedly bestow you a shower of compliments for a such bravery Endeavour.

You may top the shit up by Working on words syntax, morphology and seminatics by taking some glances on corresponding books besides.

I'm sorry I don't fit in the Qualifications.
See you at the top.
 
Ujumbe umefika, kama mnadhani manishi kisiwani sawa. Ila angalia nchi zote ambazo upinzani ulitumia holela kuingia madarakani kama wao hawajakumbwa na hiyo holela. Unaijua historia ya Madagascar? Tunisia je? Misri? Ukraine? Georgia? Parkistani? Kama hujui mifano hata mmoja hapo huna haja ya kuendelea kujibu, rudi shule
sawa
 
Tunakoelekea sio kuzuri. Kuna watu wanadhani watakua wapinzani daima. Hivi kosa la rais kwa tukio la juzi ni lipi mpaka ataukanwe? kuzuia maandamano? ni utawala gani utakaoruhusu maandamano ambayo hata taarifa ya saa 24 haijatolewa? kuna watu wanadhani wanaishi Ulaya wakati wako Tanzania. Huko Marekani kwenyewe tumeona mala ngapi watu wakiuwawa na polisi tena kweupeeee. hebu huyo mange amtukane trump weusi wakiuawa na polisi kama ataendelea kukaaa marekani. Kuzuia maandamano ilikua sahihi kisheria ila kutumia silaha ya moto ni makosa kabisa kisheria. Sasa sijui mnataka rais angeenda yeye maana polisi hawaminiki wanaweza kutumia silaha za moto? Hivi mkishinda uchaguzi mtaongoza nchi gani ya bila sheria na taratibu? Napenda watu wanajua historia duniani, haya mambo huwa yanabackfire vidhuri. Lowasa na sumaye mashahidi, walipokua ccm walikua wanahusika kukandamiza upinzani leo wako upinzani wanakandamizwa. Hiyo nchi ya holela hakuna atakayeweza kuiongoza. Hebu kosa la polisi liwe la polisi na la rais liwe la rais. Tusijitoe ufahamu. Labda kama kuna watu watakua wapinzani daima.
WTF!!!!???
Does this piece of shit relate to what we are discussing here!!?

Go find the right place to put your shit!!

SOB [emoji41]
 
Back
Top Bottom