I am Looking for serious Man

Nilichogundua huyu manzi anahitaji someone to teach her English language.. Yani anahitaji mwalimu wa English maana English yake ni mbovu sijawahi ona hapa duniani... Ila I'm wishing you all the best
English Language ?πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ€”
 
just try to upload your photo maybe you can motivate us..!!
 
Akajifunze kiswahili alaf aje tena atoe tangazo lake asitulamishe kiingereza wakat yey ndio mweny shida
 
why do you care about English? aren't you looking for a husband madam. I deem to be unfit as per your conditions.
 
Kapicha please
 
What do you mean ?[emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Diamond hata afanyaje hawezi mpa Zari hela ambayo itamfanya Zari atulie na kiufupi sio type yake kabisa.
So ujue hilo Zari anachepuka kutafuta maslahi ya watoto wake.
Na Zari hana ile heshima kwa sababu ni yeye kampiga tafu mpaka kafikia hapo.
Alikutana na Zari hana inshu kapauka kwa nyimbo zote bado alikuwa chokoraa alikuja kupumzisha roho alipokutana na Zari japo Wema alisaidia. Uliandikiwa hii comment?
 

Yaani mpaka karne hii unalalamika na Kiingereza?

Emails za kazi unaandika Kisukuma?

Acheni bana,lugha isiwe ishu ya kumnyanyasa mtu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] this is a joke LOL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…