I am scared!!

I am scared!!

Haya naona mambo yamekuwa mambo, cupcakes zimetotoa half cakes au donats......
sasa tuna Mas na Ha..ri, NEE and mzee wa yuuuuuuuuuuuuuuuuuuu...
 
Haya naona mambo yamekuwa mambo, cupcakes zimetotoa half cakes au donats......
sasa tuna Mas na Ha..ri, NEE and mzee wa yuuuuuuuuuuuuuuuuuuu...

hahahahahaahah!.....you did done your thesis uh!....
 
Mirror mirror on the wall who has the meanest swagger of them all?
 
Hahahahahaha ama kweli kuna mijitu mibwege sana ktk hii dunia...unaweza kuta unaona Kelly01 ni shemeji yako kweli hahahahaha!!! Acha ushamba, toka uchangie vile vidollar kumi basi unaona JF kama yako eeeeeh...grow up!! Unakasirika na kumaindi watu na mambo ya mtandaoni!? kaaaaaaazi kweli....LOL.


YNIM...Please msianze kukwaruzana bwana....lets be friends please please i beg you..msitukanane na masanilo...we are all grown up lets act like one...peaneni mikono mambo ya beef hayana faida mtajizeesha bure tuu..
 
Hahahahahaha ama kweli kuna mijitu mibwege sana ktk hii dunia...unaweza kuta unaona Kelly01 ni shemeji yako kweli hahahahaha!!! Acha ushamba, toka uchangie vile vidollar kumi basi unaona JF kama yako eeeeeh...grow up!! Unakasirika na kumaindi watu na mambo ya mtandaoni!? kaaaaaaazi kweli....LOL.
Tuombe mungu.......
YNIM...Please msianze kukwaruzana bwana....lets be friends please please i beg you..msitukanane na masanilo.
Mbona peace tu bibie.....omba mungu lakini
 
No hakuna peaCE HAPO maana shemji yangu akija na yeye atatoa bombastic lake...lets ve cival!...
ndio vizuri.....JF tunakubali kutokukubaliana......wasipokubaliana ndio kukomaa kwa mijadala....
 
ndio vizuri.....JF tunakubali kutokukubaliana......wasipokubaliana ndio kukomaa kwa mijadala....

siyo mijadala ya kugombana like that na kutumiana maneno makali ya kihivyo....agree to disagree in good ways...
 
stop_snitching.jpg
 
Icadon, naona ulikopy bango la GT... lol

Masa inabidi alisome na kuchunguza kama liko limewekwa kwenye ka-mlingoti kake lenyewe au nani amesimama nalo barabari ... 🙂
 
Icadon, naona ulikopy bango la GT... lol

Masa inabidi alisome na kuchunguza kama liko limewekwa kwenye ka-mlingoti kake lenyewe au nani amesimama nalo barabari ... 🙂

Hehe, jamaa alispray paint chini ya neno STOP kwenye stop sign ya mtaa mmoja Seattle.

Kuna video na compress hapa naona ishaniboa sasa maana ni 4 gigs nataka kuiweka zshare.
 
Hehe, jamaa alispray paint chini ya neno STOP kwenye stop sign ya mtaa mmoja Seattle.

Kuna video na compress hapa naona ishaniboa sasa maana ni 4 gigs nataka kuiweka zshare.

..mkuu, si uivunje vunje kwanza.. ili watakaonyonya waka re-compile wenyewe... max mb upload za zshare ni ngapi per file?

..pls tupatie link ukifanikisha.
 
Mkuu na wewe tena unaniua vivi hivi......nilijua utanipa tafu za kiborn town....

Unaona sasa...hii ndio naiita man law violation. Wewe kama kidume hutakiwi kulia lia eti unauliwa. Wenzio wakiua wewe ndo unakazana (no pun intended) zaidi...hujawahi kusikia msemo wa "make your haters your motivators"?

dogo inabidi ule crash course ya man law na how to step your game up 101
 
..mkuu, si uivunje vunje kwanza.. ili watakaonyonya waka re-compile wenyewe... max mb upload za zshare ni ngapi per file?

..pls tupatie link ukifanikisha.

Well, naweza kuirender as a FLV(flash video) which will come to a few 100 mb. Sure thing, after all ni ya Secret Service.

Naona Neemah kaenda kulala sasa.
 
Actually not, wakati jamaa anaongea $hyt 'bout me ulikuwa kimya na hukumwambia asi-stop.....uaga sipendi hizo fake one sided diplomacy......nitaendelea kum-hit kadri nipatavyo nafsi!! Sorry...

Actual miye wala sikujua kama mna-tupana maneno hadi leo hii nilivyoona hiyo comment ya Masanilo to SteveD...If i knew i wouldn;t let it since i don't tolerate our two good friends kuanza get into it....Me and cupcake dont like to see you two pointing fingers....I will actual talk to Masanilo too about this....
 
Well, naweza kuirender as a FLV(flash video) which will come to a few 100 mb. Sure thing, after all ni ya Secret Service.

Naona Neemah kaenda kulala sasa.

Kuhusu file.. si basi u-serialize tu na kuzi-youtube 1/10 or 1/40?


Kuhusu Neemah, nadhani ame attend manicure session, nakumbuka ali-mention last week kuhusiana na hiyo appointment.
 
Back
Top Bottom