Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kwa huyu imezidi, yaani wakati mwingine naota usiku kuwa amenikimbia kitandani, nikigeuka namkuta amelala fofofo.
Hapo humuamsha na kuanza kumhoji ni wapi alipotaka kukimbilia.
haa wacha tu, wakipendwa tabu, sasa waache wapende wakolee haswaa.
Afu utawasikia kalishwa limbwata!!!!!kumbe wapi kuna wanaume wanathamini na wanajua kupenda tu.
Tuongee ukweli hivi mtu akikupenda kwa dizaini hii kweli utaipenda?
Tuongee ukweli hivi mtu akikupenda kwa dizaini hii kweli utaipenda?
Lol sasa si kutakua hakukaliki hapo nyumbani....wakati mwenzio anaota anaibiwa we sijui utakuwa unaota nn??Na mie ntampenda mara 2 yake
yeomiii sasa hilo balaaaaaaaaaa mama!!!Na mie ntampenda mara 2 yake
Lol sasa si kutakua hakukaliki hapo nyumbani....wakati mwenzio anaota anaibiwa we sijui utakuwa unaota nn??
Hayo ya Buji wala sio mapenzi tena. Yana border kwenye unyapala na utumwa!
Ndio raha yenyewe ya mapenzi kakazangu.Lazima uwepo ukoloni,kudeka n.k
Zis is tu machi mai dia!! some time privacy inaongeza ladha ya mapenzi!Ndio raha yenyewe ya mapenzi kakazangu.Lazima uwepo ukoloni,kudeka n.k
Mapenzi mwitu hayo. Good luck
yeomiii sasa hilo balaaaaaaaaaa mama!!!
Zis is tu machi mai dia!! some time privacy inaongeza ladha ya mapenzi!
Lol sasa si kutakua hakukaliki hapo nyumbani....wakati mwenzio anaota anaibiwa we sijui utakuwa unaota nn??
Hapana hii ni tofauti bibie.....ivi wivu wa buji buji umeuelewa kweli?Hebu jiulize Kimey,Mkeo anakuruhusu unaenda out na marafiki zake wakike au hata rafiki zako wa kike.Ukilala hukohuko sawa tu.Akikuta sms za mapenzi hakuulizi anachekelea tu.Hivi utajifikiriaje?
He he he he thanx hommie kwa kujali maslahi yangu! kale ka batani ketu sikaoni
Unaona sasa...hizi ni dalili za ugonjwa wa akili. Usipowahi matibabu ipo siku utamtia bisu mwenzio kwa kudhani anamegwa na mwingine kumbe ni njozi zako tu. Na mwanamke yeyote mwenye akili timamu hataifurahia hii hali yako. Lazima itamtisha. Tafuta psychiatrist haraka iwezekanavyo.