bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Carmel you are soooooo soooooo right. When I was reading your post, I felt like you are pointing finger at my life!!sitaki kabisa kupendwa hivyo, si mapenzi hayo ila obsession. Labda niongee kisociolojia zaidi na kwa wale ambao hawaelewi hiyo ni dalili mbaya sana, ningekuwa namjua huyo mdada ningemshauri akimbie mapemaaaaaaa, maana watu wa hivi huwa wana matatizo ya inferiority complex, in their mind they think they dont deserve you na hivyo wanakuwa na wasi=wasi saa yote kwamba watanyang'anywa au kukimbiwa. matokeo yake wanakuwa so defensive na kuwa protective na jelousy ya kii hivyo, hawa ni wepesi kufanya mashambulio ya mwili( domestic violence) au hata kuua. Kwa hiyo i wouldnt advise a friend au mdogo wangu to be involved in a r/ship with such kind of a person. Ndio hizi type za watu ambao huwakaztaza wake zao kufanya kazi wakidhani wataibiwa, ndio hawa ambao huwazuia wake zaokwenda hata sokoni na kuwachagulia nguo za kuvaa. The lis is sooo long i could write till morning lakini kibaya zaidi ni kwamba hawa ndo type za wanaume ambao ni wepesi kucheat pia. So ningekushauri Bujibuji utafute wataalamu, kwa sasa nakureffer kwa dada Sadaka wakati nikiendelea kukuombea Ufunguliwe na hilo pepo la wivu ulipiltiliza.
mmh apo umesema swahiba.....sampuli km izi kwa kupenda kutia mastory na vidosho wa wenzake usipime...........:mad2:Alafu ww mademu wa wenzio unajiexpress kama kawa.
ha ha ha ha.........halafu wa kwake mtu asimsogelee.Alafu ww mademu wa wenzio unajiexpress kama kawa.
mmh apo umesema swahiba.....sampuli km izi kwa kupenda kutia mastory na vidosho wa wenzake usipime...........:mad2:
bt actualy m fillin .....for u thats pbm based on psychlogy that HAUJIAMIN thats y u take any man tokng to ya glfrend as enermy........cool down brooo ....jikubali then apo utaona kidume chochote kikilonga na manzi ako ni pimbi tu bt ur the ONLY MAN TO HER....JUST TRY TO BUY SOME CONFDENCE N YR PBM WILL GONE...........:smile-big:
sitaki kabisa kupendwa hivyo, si mapenzi hayo ila obsession. Labda niongee kisociolojia zaidi na kwa wale ambao hawaelewi hiyo ni dalili mbaya sana, ningekuwa namjua huyo mdada ningemshauri akimbie mapemaaaaaaa, maana watu wa hivi huwa wana matatizo ya inferiority complex, in their mind they think they dont deserve you na hivyo wanakuwa na wasi=wasi saa yote kwamba watanyang'anywa au kukimbiwa. matokeo yake wanakuwa so defensive na kuwa protective na jelousy ya kii hivyo, hawa ni wepesi kufanya mashambulio ya mwili( domestic violence) au hata kuua. Kwa hiyo i wouldnt advise a friend au mdogo wangu to be involved in a r/ship with such kind of a person. Ndio hizi type za watu ambao huwakaztaza wake zao kufanya kazi wakidhani wataibiwa, ndio hawa ambao huwazuia wake zaokwenda hata sokoni na kuwachagulia nguo za kuvaa. The lis is sooo long i could write till morning lakini kibaya zaidi ni kwamba hawa ndo type za wanaume ambao ni wepesi kucheat pia. So ningekushauri Bujibuji utafute wataalamu, kwa sasa nakureffer kwa dada Sadaka wakati nikiendelea kukuombea Ufunguliwe na hilo pepo la wivu ulipiltiliza.