“I am the state”- book launched in tanzania exposing state house corruption, abuse of power- another in the making

“I am the state”- book launched in tanzania exposing state house corruption, abuse of power- another in the making

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Waandishi wajiandae kuandika kitabu kipya kingine " I am The State part II"


“I AM THE STATE”- BOOK LAUNCHED IN TANZANIA EXPOSING STATE HOUSE CORRUPTION, ABUSE OF POWER
1724905437154.png
 
Waandishi wajiandae kuandika kitanu kipya kingine I am The State


“I AM THE STATE”- BOOK LAUNCHED IN TANZANIA EXPOSING STATE HOUSE CORRUPTION, ABUSE OF POWER
View attachment 3081804
Kunapofanyika kitu kizuri kwenye jamii, kitu cha kwanza ni kuwapongeza manguli hawa wa habari kwa hiki walichokifanya maana wengi wetu tuko kimya kama hatuoni kinachoendelea, ila...

Writing books is for the authors, journalists are reporters, their first duty and obligations is to report through mainstream media, then they can compile and write books.

Media ni mhimili, the fourth estate or the fourth protocol, ikitimiza wajibu wake kikamilifu, inamfurusha mtu Ikulu kama walivyofasnya gazeti la The Washington Post kwenye kashfa ya watergate.

Hao wote walikuwa ni ma Chief Editors kwenye mainstream media, jee enzi zao media zao ziliripoti hizi grand corruption?. Zilitimiza jukumu la uhimili wa media kumfurusha mtu ikulu au media yote ilijiunga kwenye praise team kwa kusifu na kuimba mapambio ya "anaupiga mwingi", "mitano tena", halafu awamu ikiishapita, ndipo waandishi wahariri hawa wanakuja na vitabu hivi?.

Niliwahi kuandika humu kuhusu media zetu Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija na nikauliza Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

P
 
Kunapofanyika kitu kizuri kwenye jamii, kitu cha kwanza ni kuwapongeza manguli hawa wa habari kwa hiki walichokifanya maana wengi wetu tuko kimya kama hatuoni kinachoendelea, ila...

Writing books is for the authors, journalists are reporters, their first duty and obligations is to report through mainstream media, then they can compile and write books.

Media ni mhimili, the fourth estate or the fourth protocol, ikitimiza wajibu wake kikamilifu, inamfurusha mtu Ikulu kama walivyofasnya gazeti la The Washington Post kwenye kashfa ya watergate.

Hao wote walikuwa ni ma Chief Editors kwenye mainstream media, jee enzi zao media zao ziliripoti hizi grand corruption?. Zilitimiza jukumu la uhimili wa media kumfurusha mtu ikulu au media yote ilijiunga kwenye praise team kwa kusifu na kuimba mapambio ya "anaupiga mwingi", "mitano tena", halafu awamu ikiishapita, ndipo waandishi wahariri hawa wanakuja na vitabu hivi?.

Niliwahi kuandika humu kuhusu media zetu Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija na nikauliza Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

P
Silence surrenders public responsibilities. I am also writing an entrepreneurship book it includes interesting topics one of them enlightening why business fail and possible solutions. Silence surrenders public responsibilities it is detailed in a topic called silent society, since business can not succeeded in silent society, (kufanya biashara kwenye jamii iliyo nyamaza huwezi kufanikiwa a.k.a jamii mfu), stay tuned
 
Kunapofanyika kitu kizuri kwenye jamii, kitu cha kwanza ni kuwapongeza manguli hawa wa habari kwa hiki walichokifanya maana wengi wetu tuko kimya kama hatuoni kinachoendelea, ila...

Writing books is for the authors, journalists are reporters, their first duty and obligations is to report through mainstream media, then they can compile and write books.

Media ni mhimili, the fourth estate or the fourth protocol, ikitimiza wajibu wake kikamilifu, inamfurusha mtu Ikulu kama walivyofasnya gazeti la The Washington Post kwenye kashfa ya watergate.

Hao wote walikuwa ni ma Chief Editors kwenye mainstream media, jee enzi zao media zao ziliripoti hizi grand corruption?. Zilitimiza jukumu la uhimili wa media kumfurusha mtu ikulu au media yote ilijiunga kwenye praise team kwa kusifu na kuimba mapambio ya "anaupiga mwingi", "mitano tena", halafu awamu ikiishapita, ndipo waandishi wahariri hawa wanakuja na vitabu hivi?.

Niliwahi kuandika humu kuhusu media zetu Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija na nikauliza Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

P
Well narrated Mr. Mayalla!
 
Wametupa jiwe gizani, swali fikirishi je walioshika kitabu ndiyo waandishi?
Hawako serious na biashara ya kitabu chao, (mauzo ya kitabu), business is people you have to tell them what you are doing and how to get hold of you,(how and where to buy your products), the abcd
 
atakayeguswa maslahi yake na yale ya jamaa zake ndiye atakayeandika !!

Wabongo wako Selfish sana sana tena sana !! 😳🤦🏽‍♂️
Na hali hii ndiyo inafanya tusipige hatua...

Unafiki kila sehemu...

Ukiguswa unapiga kelele..

Akiguswa unaemchukia unashangilia...

Huu unafiki wetu CCM inautumia kutunyoosha...
 
Na hali hii ndiyo inafanya tusipige hatua...

Unafiki kila sehemu...

Ukiguswa unapiga kelele..

Akiguswa unaemchukia unashangilia...

Huu unafiki wetu CCM inautumia kutunyoosha...
Na mkionekana mnataka kuongea lugha moja anatokea mtu anaanzisha mada za kidini kidini ili muanze kulumbana huko 😂

Mwisho kabisa mnaletewa Simba na Yanga.
UBAYA UBWELA Biashara inaishia hapo 😀
Tanzania raha sana 😂😅🙏 🤦🏽‍♂️
 
Na mkionekana mnataka kuongea lugha moja anatokea mtu anaanzisha mada za kidini kidini ili muanze kulumbana huko 😂

Mwisho kabisa mnaletewa Simba na Yanga.
UBAYA UBWELA Biashara inaishia hapo 😀
Tanzania raha sana 😂😅🙏 🤦🏽‍♂️
Mara kapu la maembe dodo hilo, hahahaa, mnaanza kubishana kwanini wengine wale dodo kila kukicha fumba na kufumbua unashangaa wasiojulikana wanazima taa
 
Waandishi wajiandae kuandika kitabu kipya kingine " I am The State"


“I AM THE STATE”- BOOK LAUNCHED IN TANZANIA EXPOSING STATE HOUSE CORRUPTION, ABUSE OF POWER
View attachment 3081804
Mbona mada haina ufafanuzi wa kichwa kichwa cha habari?
Mwandishi wa kitabu nani ?
Na hao kwenye picha ni nani?
Na Stte Power corruption ni kwa kipndi kipi?

Maswali ni mengi!
 
Back
Top Bottom