- Thread starter
- #21
bado wako uhamishoni wengine, bado wanaogopa kuja na saa ndiyo hawatakuja kabisa!Labda uandike wewe...
Hao wenzako waliandika kwasababu kuna sehemu waliguswa...
sasa hivi hawana habari, kwasababu maslahi yao yako guaranteed...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado wako uhamishoni wengine, bado wanaogopa kuja na saa ndiyo hawatakuja kabisa!Labda uandike wewe...
Hao wenzako waliandika kwasababu kuna sehemu waliguswa...
sasa hivi hawana habari, kwasababu maslahi yao yako guaranteed...
Swali zuri.Hao wote walikuwa ni ma Chief Editors kwenye mainstream media, jee enzi zao media zao ziliripoti hizi grand corruption?. Zilitimiza jukumu la uhimili wa media kumfurusha mtu ikulu au media yote ilijiunga kwenye praise team kwa kusifu na kuimba mapambio ya "anaupiga mwingi", "mitano tena", halafu awamu ikiishapita, ndipo waandishi wahariri hawa wanakuja na vitabu hivi?.