“I am the state”- book launched in tanzania exposing state house corruption, abuse of power- another in the making

“I am the state”- book launched in tanzania exposing state house corruption, abuse of power- another in the making

Labda uandike wewe...

Hao wenzako waliandika kwasababu kuna sehemu waliguswa...

sasa hivi hawana habari, kwasababu maslahi yao yako guaranteed...
bado wako uhamishoni wengine, bado wanaogopa kuja na saa ndiyo hawatakuja kabisa!
 
Hao wote walikuwa ni ma Chief Editors kwenye mainstream media, jee enzi zao media zao ziliripoti hizi grand corruption?. Zilitimiza jukumu la uhimili wa media kumfurusha mtu ikulu au media yote ilijiunga kwenye praise team kwa kusifu na kuimba mapambio ya "anaupiga mwingi", "mitano tena", halafu awamu ikiishapita, ndipo waandishi wahariri hawa wanakuja na vitabu hivi?.
Swali zuri.
 
Back
Top Bottom