Morogoro tulikuwa tunaita MDUNDIKO. Ulikuwa maarufu kwa kupoteza watoto. Pia wake waliunguza mboga jikoni kwa sbb ya MGANDA.
Naomba Basi nimalizie Mimi mrembo
[emoji38][emoji38][emoji38]we mama Mimi huwa no fun wako. Unafurahisha sanaUmefanya hiki kibwagizo kinijie kichwani....
Poliiisiii kamataa
Kidevu kinawashaa
Mwambie babu yakoo
Acheze mgandaaaa... uuuhhh
Havintishi tishiii
Havinibabaishiii
Ule mpango vipiii
Msalimie afande hapo kushoto aahahahhaaaa.
K' Matata.
[emoji23][emoji23][emoji23] daaaaMweeehhh!! huogopi kuzamamoo...!!??
Yaani kimekwisha chotee kama kifutio vile kinavyoisha, hakipoo...
Hata cha kukombelezea hakunaa, yaani hakuna kituu hata kuchungulia hakifai unaweza ukazimia au kupofuka macho.
Yule wa mwisho alikomboleza choteee aahahahahahaaaa.
K' Matata.
Usinifanyie hivo my dearMweeehhh!! huogopi kuzamamoo...!!??
Yaani kimekwisha chotee kama kifutio vile kinavyoisha, hakipoo...
Hata cha kukombelezea hakunaa, yaani hakuna kituu hata kuchungulia hakifai unaweza ukazimia au kupofuka macho.
Yule wa mwisho alikomboleza choteee aahahahahahaaaa.
K' Matata.
SAS HV anasemaj
Usinifanyie hivo my dear
Nakupenda ati
Mwambie asubiri kwanza mpka tujue nan mchokoz kati ya bwege na magufuliKamtuma bodaboda aniletee mihogo ya kukaanga na chachandu, wakati naifungua nikakutana na pete, halafu akanipigia simu huku anaongea kwa kwikwi.....
Ka ssi nn dee ... wi will yu you...!!????
Bado yuko hewani hadi saa hii sijamjibu na yeye kasema hakati simu hadi nimjibu...
Nimjibujee...!???