I could be......

I could be......

Do not jump and celebrate Mwali
not that fast..bur i am humbled with your offer...
Not that fast nini? kwani mimi nimecelebrate?
Nimesema tumsubiri Kongosho ndio utoe jibu...
(But I have some hope that indeed you could be...)
 
Mwali, ukija hapa kwangu, nakuotesha pembe la ng'ombe.

Kwani EMT yuko wapi?

Afu wee The Boss, kuhudumia mtaa mzima utapata kisukari bure, huyu ni binti wa baba ako mkubwa lol
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha, waswahili wansema ukibebwa kunja miguu.

Kaburuza miguu weeee mie namwangalia tu, mwishowe kachoka kaona arudi home lol.

Ntakutafutia ya kumwekea Paw, ila huyu hadi uende Nkasi sababu yeye ni mod na dozi yake kali zaidi.

inabidi unipeleke kwa yule mganga wako wa chamazi, naona mateka anakaa kwenye mstari kadri siku zinavyosonga mbele :eek2:
 
Mwali, ukija hapa kwangu, nakuotesha pembe la ng'ombe.

Kwani EMT yuko wapi?

Afu wee The Boss, kuhudumia mtaa mzima utapata kisukari bure, huyu ni binti wa baba ako mkubwa lol
Sorry Konnie. Mimi EMT nimesha sema naona hana mpango
Nimerudi niliko toka, Saint Ivuga mwanzo mwisho from now on
 
Last edited by a moderator:
Bwana Boss ...kumbe nawe ni mmalenga?!

Hongera :whistle:
 
Back
Top Bottom