I declare it, I love you so much...

Ha ha ha naona mizizi uliyootesha kwa baby wako imeanza kukomaa!!
Safi :thumbup:

Aah..yule mtoto kashanogewa vibaya hadanganyiki tena
Nampatia ile kitu kidundio chake inataka!!
 
yaani mie pombe ni turn off, sijui sababu niko alcohol free?

Aheri na mke nimkose kama ultimatum ni kuacha pombe!Kila mtu na starehe yake bana

Sitaki hata niwaze itapitaje pitaje weekends yangu bila kupiga viroba kadhaa?No way
 
kiwatengu, unakimbuka tulipoanzia na hili saga. We're almost reaping, brother! Hatukupanda kwenye mwamba, au magugu...tulipanda kwenye udongo wa rutuba. miss chagga pls, Say something kwa Tembosa...teeh!!
Tembosa approach yake ni ya kizamani sana kaka!

Angeanza na ATM cards then amuachie "Mama"mwenyewe aamue!Haya mambo ya "maneno kauli"madada wengi hapa watamuona"kavu"tu!
 
Last edited by a moderator:
Aah..yule mtoto kashanogewa vibaya hadanganyiki tena
Nampatia ile kitu kidundio chake inataka!!

good sana mkuu,
possibly mkuu Excel hakuidunda ipasavyo.
 
Last edited by a moderator:
niachie mm nilie na mpenzi wangu ....khaaaa
 
Tembosa approach yake ni ya kizamani sana kaka!

Angeanza na ATM cards then amuachie "Mama"mwenyewe aamue!Haya mambo ya "maneno kauli"madada wengi hapa watamuona"kavu"tu!

Mkuu, Tembosa aliianza hii kazi mda mrefu sana, sema tu miss chagga anaonekana Kuna vitu anataka viwe sorted kwanza kabla ya kusema I DO!! Si unajua life ya sasa hivi tunaangalia "Una nini"..sio maneno na sura nzuri.
 
Last edited by a moderator:
Aheri na mke nimkose kama ultimatum ni kuacha pombe!Kila mtu na starehe yake bana

Sitaki hata niwaze itapitaje pitaje weekends yangu bila kupiga viroba kadhaa?No way

Serious?? Kazi unayo..!!
 
Serious?? Kazi unayo..!!

Pombe at its moderate level ina matatizo gani kaka?if you are not habitual drinker hamna mbaya mkuu!

Ijumaa-Jumapili nakunywa viroba vyangu na nakuwa na furaha ya maisha
 
Mkuu, Tembosa aliianza hii kazi mda mrefu sana, sema tu miss chagga anaonekana Kuna vitu anataka viwe sorted kwanza kabla ya kusema I DO!! Si unajua life ya sasa hivi tunaangalia "Una nini"..sio maneno na sura nzuri.

Eheheheheh hiyo kauli kama life siku hizi "wana angalia kwanza una nn" imenichekesha sana!
amu alinihaidi na mm kunipa wa kuongea nae PM hadi sasa sijaona lolote mwee!
 
Last edited by a moderator:
Hamna wa kinipora we mwenyewe umekuja na fitina zako umechemsha!!

Sijachemsha mkuu! Nimeona ulikosa amani mpaka unaongea peke yako barabarani, hata nikikualika kikao cha kunywa huji, nikahofu utajiua, nikaamua kukuachia.
 
Eheheheheh hiyo kauli kama life siku hizi "wana angalia kwanza una nn" imenichekesha sana!
amu alinihaidi na mm kunipa wa kuongea nae PM hadi sasa sijaona lolote mwee!

Mitala utakubali?
 
Last edited by a moderator:
Tembosa approach yake ni ya kizamani sana kaka!

Angeanza na ATM cards then amuachie "Mama"mwenyewe aamue!Haya mambo ya "maneno kauli"madada wengi hapa watamuona"kavu"tu!

chagga kwa chagga. besa to besa
 
Last edited by a moderator:
Sijachemsha mkuu! Nimeona ulikosa amani mpaka unaongea peke yako barabarani, hata nikikualika kikao cha kunywa huji, nikahofu utajiua, nikaamua kukuachia.

Mtoto yupo wala simfungii sasa wewe tia tena miguu ujionee atakavyo kucharaza!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…