Acha kubania wana. Olewa na baba ako na kingereza chako cha Kilwa Masoko
@bi khadijaTeh!
Kama hivyo mleta mada anachofanya
Hataki mtu inbox wakati alishaweka bango la kutafuta mwanaume
Kuna kosa lolote mtu akisema hataki mume wa mtu? Wanaume mna roho mbaya sana yaani raha yako kuona mtu anaumia? Unatakiwa kujua kuwa kwenye maisha kila mtu ana preferences zake, kuna wengine hawana shida whether wewe ni mume wa mtu au mume wa ng'ombe yeye hajali...kama una hamu sana ya kumsaliti mkeo si uwe na hao?Mi ndio nnawapenda hawa wanaoleta nyodo hawataki mume wa mtu...unamkazaaa afu unamwambia nimeshaoa abaki na nyodo zake
Kuna kosa lolote mtu akisema hataki mume wa mtu? Wanaume mna roho mbaya sana yaani raha yako kuona mtu anaumia? Unatakiwa kujua kuwa kwenye maisha kila mtu ana preferences zake, kuna wengine hawana shida whether wewe ni mume wa mtu au mume wa ng'ombe yeye hajali...kama una hamu sana ya kumsaliti mkeo si uwe na hao?
mtu kusema hataki mume wa mtu ndio nyodo?Tatizo ni nyodo sio preferences
mtu kusema hataki mume wa mtu ndio nyodo?
Hakuna chuo kinafundisha kiingereza kibovu hivi; huyu ni kahaba tu kama makahaba wa deluxe au uhindini Dom. ..Kaaazi kweli kweli.
Eti rules and regulations. Kizungu cha chuoni sio kizungu cha maisha.
Kabisa mkuuFirst of all, you ought to improve your English language grammar.
Alichoandika ni utumbo mtupu Mkuu.Alikuwa anawaza ktk kiswahili na kubadilisha kuwa Kiingereza.Kabisa mkuu
Acha kubania wana. Olewa na baba ako na kingereza chako cha Kilwa Masoko
Huyu atakuwa mbayaNi vyema ungemjibu huko huko huku unajichoresha halafu unaonekana kamalaya
Shemeji hebu nitafsirie.Shemejiiiiii. Kizungu hichooooo