EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,099
- 25,347
Mkuu, tena ni bora hata wewe umeishia kidato cha sita. Kikubwa muombe Mungu akujalie pumzi na uendelee kutafuta (mtafutaji hachoki, akichoka ameshapata) maana maisha haya si ya kujikatia tamaa. Nenda hata kwenye makanisa ya dini tofauti tofauti nadhani huwezi kukosa msaada, jitume na acha kufikiria kulaumu kwanini baba yako hakukuwekea hazina ila kaa ukijua bila jasho lako ni ngumu mkono kwenda kinywani.
Pole sana Mkuu.
Pole sana Mkuu.