hahahaaa mmh acha hizo bhana mpe ushauri kidogo asijiue kijanaUsisahau kuwaachiua nduguzo chochote cha kuanzishia gharama za mazishi
Sidhani kama jibu lako Ni sahihi Mkuu.. Watu wanatofautiana Moyo WA uvumilivu na hii inatokana na malezi na mazingira alokulia. Hajasema Ni matatizo gani amepitia hadi kuwaza kujiua. Mi sidhani kama la kukosa mahala pa kukaa au kufukuzwa Ni tatizo lilomfanya ajiue ispokua napata hisia kua Kuna mambo mengi amepitia hadi kufikia kuwaza kujiua. Nadhani alikosa WA kumwambia haya that's why akaja kusemea huku. Unajua mtu akificha kitu rohoni Ni vibaya zaidi ILA ukiongea linalokusibu huku jf unapata kidgo amani ya moyo. Nakwambia Ni bora alivokuja hata kuandika hapa na wazo Hilo litakosa nguvu na hatopata wazo la kujiua tena lakin angekaa nalo moyoni hakika angejiua kbla hata ya usiku huuAcha kuzingua wewe.
Tatizo vijana wa siku hizi wanapenda maisha rahisi sana ndio maana unalia lia mtandaoni badala ya kuangalia nini unaweza ukafanya kusogeza maisha mbele. Unalalamika mara baba mara mama, unadhani kila mtu ambae amefanikiwa au anastahimili mikikimikiki ya maisha aliachiwa urithi?
Sikuonei huruma ila umenikasirisha sana. Unaingia JF kulalamika utafukuzwa baada ya siku 5, we unadhani nani anataka kukaa na mtu asiyejishughulisha na wala haishi kulalamika? Unadhani ukienda kwa mtu ukaomba kukaa huku ukiwa hata na sh. 2000 ya kuchangia chakula hatokuvumilia maadam anakuona unahangaika?
Uza hiyo simu, chukua hela utakayopata nenda nayo Kariakoo kanunue hata chupi au boxer dosen moja au hata nusu ukachuuze mtaani. Kuwa na kauli nzuri, omba watu wakuungishe ili upate kidogo chako cha halali. Acha kulia lia ujinga, tumia akili na ujitume.
Yaani #F9T umenifurahisha sana,hajui utamu wa ugali na dengu huyuhv ww mleta mada unataka kujiua, huujui utamu wa ugali?
Sidhani kama jibu lako Ni sahihi Mkuu.. Watu wanatofautiana Moyo WA uvumilivu na hii inatokana na malezi na mazingira alokulia. Hajasema Ni matatizo gani amepitia hadi kuwaza kujiua. Mi sidhani kama la kukosa mahala pa kukaa au kufukuzwa Ni tatizo lilomfanya ajiue ispokua napata hisia kua Kuna mambo mengi amepitia hadi kufikia kuwaza kujiua. Nadhani alikosa WA kumwambia haya that's why akaja kusemea huku. Unajua mtu akificha kitu rohoni Ni vibaya zaidi ILA ukiongea linalokusibu huku jf unapata kidgo amani ya moyo. Nakwambia Ni bora alivokuja hata kuandika hapa na wazo Hilo litakosa nguvu na hatopata wazo la kujiua tena lakin angekaa nalo moyoni hakika angejiua kbla hata ya usiku huu
Dogo,, hilo wazo sio lako, pole sana kwa unapopitia najua ni ngumu sana wengi kukulewa lkn tazama kuwa Mungu ana makusudi na wewe na ndio maana mpk sasa hujafanikisha mpango ambao shetani anao juu yako, husijue nitakutafuta siku siku si nyingi na mambo yako yatabadilika nitumie number yakoHabari wakuu wa jf..
Nilikuja na thread hapa nkawa naomba advice na msaada kwa yoyote ataeweza... People came and gave me some advice... Japo until now sijapata kazi yoyote... But I was trying my best.. As I said my education level is form 6..
Leo nilienda dukani kununua sumu... My intation ilikua kujiua but sijafanikiwa kufanya hivo sababu nilipofika ninapoishi nikajukuta sina hiyo sumu and until now sijui niliipoteza vipi.. Nikaenda tena dukani but I realize that sikuw na pesa tena.. Nikarudi room na nikatafta vidonge nikavipata (panador + mseto na vidnge vingne ambavyo sjui vinaitwaje) nikanywa vyote kama ishirini hivi... But I wonder God... Now nipo naandika hii thread again.. Sijafa wala sijaumwa tumbo... Why me God? Everything ninavopitia na shida zote hizi why unataka niishi?
wakuu nimejitahidi kufanya ninavoweza niweze kuishi na sasa nilidhani nimepata mwanga cas people came to my thread and advised me na nkaanza kufanyia kazi ushauri WA baadhi ya watu but kabla sijamaliza wala sijafanikiwa lingine limetikea tena...Nimefukuzwa nilipokua nakaa (nilipokuwa nimehifadhiwa) nimefkuzwa kama mbwa and I didn't deserve that.. God why me? Am I looks like bad guy? Cha ajabu sijajua sababu za kufkuzwa like that.. Japo I feel like is because hawakupendi nikae pale tangu mwanzo ILA nililazimisha Tu cas sikua na jinsi ILA kusubiri hadi nipate njia.. Guys nakufa mwenzenu... Mi bado mdogo Sana kupitia nnayopitia... Nimepitia mengi magumu ya kudhatirishwa but I can't take it anymore.. Heri walio na wazazi ambao wanawatunza.. Namkumbuka my dad... Alinipenda na kunijari but now hakuna tena upendo kwangu... Labda mi Ni shetani nimekua... Mungu niache nipumzike na Mimi since 2007 nikiwa mdogo nmedharirishwa Sana baada ya mzee kufariki but until now nadharirika... Kazi sipati, hakuna hata anaenijari mpaka wanatokea anonymous WA jf kuja kunionea huruma... Nimechoka Mungu wangu. Nimechoka jamani... Nguvu zangu zmefika mwisho... Sijui niombe ushauri au niombe msaada maana nimedharirishwa Sana jamani.. Hapa nimejishkiza kwa mtu ambae amenpa 5 days niwe nimeondka cas ndgu zake wanakuja hapa nimefika mwisho WA mawazo yangu... Sina la kuwaza tena I can't take to be kijana WA mtaani na kuja kuingia kwenye tabia za ajabu but kufa Ni vema zaidi... Simwambii maama angu chochote... Najua hawezi kunitafuta ILA bora asikie Tu nimekufa... Msinione chizi kuandka hivi but nimefika mwisho... Mawazo yangu yameishia hapa.. I will find even sumu again tomorrow and I will kill myself... Nimedharirika na cha ajabu mtu nilimkuta somewhere Jana nikamwambia shida yangu but he told me niwe shoga... Just gay... Nijiuze... Kanijubu kwa dharau na kebehi na kusema if naweza kujiuza soko lipo... Guys I am a boy just only 21 years tena natimiza hyo 21 mwez WA 6 tareh 9...nimedharirishwa jamani Nina nini Mimi lakini... Nmeondoka kwa hasira and neno lake limenrudia tena Leo that's why nikatafta sumu na nmekunywa vidonge but sijafa why my Lord?
Nakufa nwenzenu nimeshindwa
sijui hata why naandika hapa jamii forum... No no no naweza kuwa chizi... I'm going to be crazy now... Sijui hata nawaza nn now sina cha kuwaza.... Wazazi pls pls waandalieni urithi watoto wenu kama elimu na pesa bank muwawekee hata kama bado wadogo... Baba angu hakufanya hivo na ona sasa navohangaika... Sina direction... Ndgu wabaya Sana jamani.... Let me die now cas nakumbka mengi jamani... Nalia hapa but sijui nani ataona machozi yangu... Wazazi hebu wawekeeni watoto wenu mazingra ya kupata haki Yao... Baba Baba Baba kama wewe Ni Baba pls jilinde walinde na familia yako PIA... Now najua umuhimu WA wazaz wote wawili... Najua uchungu WA kukosa mtu WA kumwita Baba au mtu WA kukusaidia ukipata tatizo... Let me die.., nmetoka mbali Sana mengi yamekuja kama mazuri but kumbe sivyo na nmekutana na hatari mbaya nkajua sitaishi but now naona nimefika mwisho WA kufight... Let me die... Sina pa kuishi sasa hata begi langu taweka wapi nkifkuzwa hapa after 5 days... Sina pa kuishi
Msione nimeshindwa kufanya kazi but I at the time when I was young my frnd mmoja alikuw mnene Sana na alinilukia kifuani akanigandamiza tukiwa tunacheza nikapata tatizo kwa kifua changu... Siwez kufanya kazi ngumu zaidi cas kifua kinabana na nashndwa kupumua kwa sekunde chache that's why I nilikuwa natafuta hata kazi za ndan Tu but batsman ningeweza kubeba zege but I can't do it.... I'm tired of this life... I know people have a lot in their life but I'm tired... Siwez sema yote but nauchungu Sana God help me.... Ooh my Lord have mercy on me...
My assumption is that this is a story. Why? The guy with such degree of problems has a cell phone or computer access to write a thread on JF web!I can not say a thing, i can not help, im just crying, please come back and say this is just a story, please !!!