Sasa mbona muhusika hajibu jamani? Kwe li he feels lonely when he is ignoring our attempts to cheer him up?
Vivian ni bia gani hiyo. Mbona wengine ni vimbambau wakubwa ila ni wanywaji wazuri.
<br><br>usijali atakuja,...akipata muda wa kumuibia mhindi si unajua jamaa anafanya kibarua kwa mhindi,,,nafikiri unawafahamu wanavyobana...vuta subiraSasa mbona muhusika hajibu jamani? Kwe li he feels lonely when he is ignoring our attempts to cheer him up?
Hivyo vyote ulivyoorodhesha hapo ni batili,..ni katika jitihada zane za kukampenia kupinga furaha ya wenzinu....anyway tupo na tutapambana nanyi mpaka kieleweke,....i.e namaanisha sio kweli kabisa
kweli lakini inauma. Toa faida kama mbili tu Dadiito.
kweli lakini inauma. Toa faida kama mbili tu Dadiito.
Hapo kwenye red..wanywa bia wengi wana maendeleo kama huamini just go to a simple bar lets say calabash pale mwenge af angalia wanywaji ni akina nan?</p>Nasikia eti. Bia inazeesha haraka bia inampa m2 hang over Bia inamaliza pesa Bia ina danganya macho na kumuona mama mkwe ni mrembo kama First lady Bia ina haribu ini Bia inampa mtu kitambi Bia inamfanya mtu kudharaulika kama analewa kila siku Bia inamfanya m2 kusahau matumizi ya Condom Bia imekatazwa kwenye Biblia na quran Bia inavunja ndoa sometimes Bia inarudisha maendeleo nyuma Bia inasababisha ajali kama ukilewa sana na kuendesha Bia Bia Bia Mulizeni mengine Fidel na Asprin.
Leo hii vivy ukiondoa bia uchumi wa taifa unaanguka! Amini usiamini chanzo kikubwa sana na muhimu cha mapato ya serekali ni Kilauri...(bia) kwa njia ya kodi... zinatumika kulipa watumishi wa umma, kununulia dawa na hata bara bara zinazojengwa wana mchango mkubwa.
Faida ingine ni ya kisoshoantropolojia!
Toa kwanza hiyo signature yako hapo down halafu ntakutolea hizo faida zake,...maake inanikera kweli2
<p>
Hapo kwenye red..wanywa bia wengi wana maendeleo kama huamini just go to a simple bar lets say calabash pale mwenge af angalia wanywaji ni akina nan?</p>
Igwe umenichekesha kweli...<br><br>usijali atakuja,...akipata muda wa kumuibia mhindi si unajua jamaa anafanya kibarua kwa mhindi,,,nafikiri unawafahamu wanavyobana...vuta subira
<br /><span style="font-family: comic sans ms">Leo hii vivy ukiondoa bia uchumi wa taifa unaanguka! Amini usiamini chanzo kikubwa sana na muhimu cha mapato ya serekali ni Kilauri...(bia) kwa njia ya kodi... zinatumika kulipa watumishi wa umma, kununulia dawa na hata bara bara zinazojengwa wana mchango mkubwa.<br />
<br />
Faida ingine ni ya kisoshoantropolojia!</span>
<br />
<br /
Mkirua hilo neno hapo mwisho nimetoka kapa. Nimejaribu kulitafuta kwenye kamusi ya TUKI sijaona maana yake kabisa
Vivian kimbaumbau sijui ni kiswahili au kichagga hebu muulize Igwe
Duh AshaDii nimeingia kichaka kabisa wala kujua kuwa anamaanisha Anthropology na sociology haipo kabisa. Duh Mkirua kaniaacha full <br />
Afu habari yako wewe. Uko lonely na wewe
<br />
<br /
Mkirua hilo neno hapo mwisho nimetoka kapa. Nimejaribu kulitafuta kwenye kamusi ya TUKI sijaona maana yake kabisa
Vivian kimbaumbau sijui ni kiswahili au kichagga hebu muulize Igwe