I feel so lonely and I feel like nobody understands me. How can I feel better?

I feel so lonely and I feel like nobody understands me. How can I feel better?

Hakuna upweke usio na sababu!
Usipogundua sababu ya upweke wako ni nini? Utazidi kuwa mpweke!

Ukiona hujui sababu ya upweke wako ni nini? Tambua hiyo ishu ya kiroho!
 
Yaani wanawake bana wanawajua wanawake yaani hapo Kuna nzi zitajaa mno pm huko kutaka kufariji Ila ishu kubwa ni papuchi, angekuwa mwanaume akaandika ivyo wangemkwepa wanaume wenzake.
Yaani demu akiwa broke or bankruptcy wanaume mia wako ready kumsaidia Ila mwanaume ukiwa ivyo hata mmoja humpati
Mkuu mpaka mtu anajitokeza hadharani kuandika hivi hujui ana hali gani, kama huna cha kuchangia kukaa kimya ni bora kuliko kuandika ukichokiandika
 
Yaani wanawake bana wanawajua wanawake yaani hapo Kuna nzi zitajaa mno pm huko kutaka kufariji Ila ishu kubwa ni papuchi, angekuwa mwanaume akaandika ivyo wangemkwepa wanaume wenzake.
Yaani demu akiwa broke or bankruptcy wanaume mia wako ready kumsaidia Ila mwanaume ukiwa ivyo hata mmoja humpati
Ni nature, mwanamke anahitaji mapenzi, uangalizi, kupetiwa petiwa yaani akicheka na wewe cheka, akilia mbembeleze, (we huogopiii 😀)
Mwanaume unakaza tu kibishi life linasonga japo ukizidiwa sana semaaaa, liaaaa utasaidika tu.
 
Ewaaaaaahhh!!!
Huku uswazi anaanzaje kuhisi upweke? Hapa tu nimetoka kushadadia huko mke anamtwanga mume wake, yaani uswazi hapapoi wala hapaboi yaani. Kwanza huku hamna mambo ya “kufuata maisha yako”, huku kila kitu kinamhusu kila mtu.
😂 kila kitu kinamhusu kila mtu, no stress za kula vitu vya gharama.
 
Kwa taarifa Yako. Hakuna Mwanaume yoyote Duniani anayeweza kukuelewa....!

Wewe upo kwenye lile Rika la 25+ below 40.
Ndo wale mnataka Asubuhi, Mchana, Alasiri, jioni na usiku Mwanaume akupigie simu kukujulia hari, bila kusahau kukuuliza kama umekunywa chai, na Mchana akuulize kama umekula tayari, na hata kama umekula utamwambia hujala....!

Then yeye atakwambia Bebii kulaaa utapata vidonda vya Tumbo......!!! Katafute Vibe10 Hiyo ndo kazi wanaweza coz unakua umewaajiri.
 
Yaani wanawake bana wanawajua wanawake yaani hapo Kuna nzi zitajaa mno pm huko kutaka kufariji Ila ishu kubwa ni papuchi, angekuwa mwanaume akaandika ivyo wangemkwepa wanaume wenzake.
Yaani demu akiwa broke or bankruptcy wanaume mia wako ready kumsaidia Ila mwanaume ukiwa ivyo hata mmoja humpati
Mwana ume wanamliwaza Wana wake Rafiki.
 
Back
Top Bottom