Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Atachangamka tu uswazi n uswaziKama ni introvert 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atachangamka tu uswazi n uswaziKama ni introvert 🤣🤣
Ewaaaaaahhh!!!Tatizo haishi uswazi
Uzuri wako wee unajua kuwa migegedo ni tiba tosha🤣 mapenzi nayo yanatibu hiyo hali😁😁
Muhimu kujua nini chanzo kabla ya kuwaza namna ya kuondokana na huo upweke.Hata sielewi but i wish niondokane na hii hali inayonitesa for long
It works for me😋Uzuri wako wee unajua kuwa migegedo ni tiba tosha
Mkuu mpaka mtu anajitokeza hadharani kuandika hivi hujui ana hali gani, kama huna cha kuchangia kukaa kimya ni bora kuliko kuandika ukichokiandikaYaani wanawake bana wanawajua wanawake yaani hapo Kuna nzi zitajaa mno pm huko kutaka kufariji Ila ishu kubwa ni papuchi, angekuwa mwanaume akaandika ivyo wangemkwepa wanaume wenzake.
Yaani demu akiwa broke or bankruptcy wanaume mia wako ready kumsaidia Ila mwanaume ukiwa ivyo hata mmoja humpati
Ni nature, mwanamke anahitaji mapenzi, uangalizi, kupetiwa petiwa yaani akicheka na wewe cheka, akilia mbembeleze, (we huogopiii 😀)Yaani wanawake bana wanawajua wanawake yaani hapo Kuna nzi zitajaa mno pm huko kutaka kufariji Ila ishu kubwa ni papuchi, angekuwa mwanaume akaandika ivyo wangemkwepa wanaume wenzake.
Yaani demu akiwa broke or bankruptcy wanaume mia wako ready kumsaidia Ila mwanaume ukiwa ivyo hata mmoja humpati
😂 kila kitu kinamhusu kila mtu, no stress za kula vitu vya gharama.Ewaaaaaahhh!!!
Huku uswazi anaanzaje kuhisi upweke? Hapa tu nimetoka kushadadia huko mke anamtwanga mume wake, yaani uswazi hapapoi wala hapaboi yaani. Kwanza huku hamna mambo ya “kufuata maisha yako”, huku kila kitu kinamhusu kila mtu.
Yaani huku mwenye stress ni aliyekosa kijora kipya cha kwenda kwenye shughuli basi😁😁😁😂 kila kitu kinamhusu kila mtu, no stress za kula vitu vya gharama.
Nashukuru umeongea ukweli aka natureNi nature, mwanamke anahitaji mapenzi, uangalizi, kupetiwa petiwa yaani akicheka na wewe cheka, akilia mbembeleze, (we huogopiii 😀)
Mwanaume unakaza tu kibishi life linasonga japo ukizidiwa sana semaaaa, liaaaa utasaidika tu.
Na kakosa kwa uzembe wake angeweza kuwekeza akapata.Yaani huku mwenye stress ni aliyekosa kijora kipya cha kwenda kwenye shughuli basi😁😁😁
tena sehemu maji inatiririka akiwezaFind quite place and make sure you're alone then think about your life deep
Quite❌️Find quite place and make sure you're alone then think about your life deep
GruuuuI doubt you are a girl, but let me play along. Why feel that way?
Mwana ume wanamliwaza Wana wake Rafiki.Yaani wanawake bana wanawajua wanawake yaani hapo Kuna nzi zitajaa mno pm huko kutaka kufariji Ila ishu kubwa ni papuchi, angekuwa mwanaume akaandika ivyo wangemkwepa wanaume wenzake.
Yaani demu akiwa broke or bankruptcy wanaume mia wako ready kumsaidia Ila mwanaume ukiwa ivyo hata mmoja humpati