I hate my Ex-

I hate my Ex-

22nd

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2010
Posts
494
Reaction score
137
Jamani hebu niambieni namsaidiaje huyu kiumbe.
Few years ago nilikuwa na boyfriend where we loved each other to death, yeye mwenzangu alikuwa ni mtoto wa mama(familia bora, mboga saba),school international mi nimetokea kule swahili academy a.k.a mtakuja primary school.

After sometimes huyu mwenzangu akawa alcoholic bila ya kwao kujua,na mpaka walivyokuja kujua wakawa wanamuadhibu kwa kumnyima hela za matumizi, kwao walivyoanza kumtenga akaanza kuni abuse flani hivi, i mean nikiwa na hela basi nimpe yote akanywe pombe, nisipompa tunapigana.

siku zikaenda miaka ikapita,alivyomaliza chuo kila akitafutiwa kazi(hawezi kutafuta kazi mwenyewe coz of ulele mama) baada ya muda lazima afukuzwe kwa ajili ya ulevi.
Nikaanza kumchukia huyu kijana,maana akawa ni mlevi wa matapu tapu.

Mungu si asumani wala rajabu, nikafanikiwa kuja ulaya kubeba box hapo ndipo nilipopata nafasi ya ku move on na maisha yangu na kumsahau.

Tatizo ni kwamba anazidi kunisumbua na kila nikijaribu kumwambia abadilike hanielewi, he is about 30 bado yupo yupo tu anaishi na mama, mlevi wa gongo,ana kila aina ya kituko.
Kila nikimwambia mimi na wewe tumemalizana hanielewi, eti anasema nimebadilika sababu nipo ulaya ana beep mchana na usiku.
Now namchukulia kama best friend,nataka kujaribu kumsaidia angalau labda aache pombe.
Nikampa condition kwamba akitaka turudiane basi aache pombe, akakubali, after two month naongea nae, nikamtania kwa kumuuliza"vipi leo haujanywa? alichonijibu ni kwamba eti hana hela,kama vp nimtumie hela ili akapate beer 2.. sasa hii ni akili kweli? alishasahu kwamba aliahidi atabadilika.
i cant change my contacts na nataka awe out of my life forever nafanyaje? nisaidieni jamani.:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
i just hate him
 
halafu sijui huwaga wanawapaga nini,maana mnawapenda kupita kiasi na hamsikii la kuambiwa.Binamu yangu yeye mpaka kangolewa meno nabado hela ilotumwa kumsaidia jaamaa kabeba kenda nywea mapombe mavi yake bado anaye tu na ukitaka kumsaidia lazma amtaje na huyo kibwengo mkubwa wa shetani:rain:
 
Mwambie tu kuna mtu mwingine kwenye maisha yako, kwa hivyo aendelee tu na maisha yake na ache hiyo tabia ya kukubeep beep coz jamaa yako anamind.
 
Mi mwenzenu sijui labda nitakuja kubadilika huko mbele ya safari? Lakini nikisema Nooooooooooooooo to you nimesema sirudi nyuma wala sigeuki, na nikisema Yesssssssssss nimesema kwa kumaanisha pia!!!
Ni rahisi Yes kubadilika kuwa Nooo kuliko Noo kuwa YES!!

Najua tunaishi kwa neema ya Mungu, so hata bila uwepo wako wewe nitakayeona sikupendi au nakupenda maisha yanaendelea tu. Ilimradi nisimkosee Mungu kivile!!

Mwache abip atachoka ataacha, nini kubip apige masaa yote kumi na mbili kama sitaki kupokea sitaki tuuuu!!
Na hawa watoto wa kwenye taulo hawa, daaa nikikuhisi tu we ni wa kwenye taulo, nakula kona tu manake najua hapo maisha lazima yawe magumu!!!

So dada kwa nini uhangaike na mtu humpendi, tena yuko mbali hivoooo!!
Hata tungekuwa tumepanga nyumba mmoja achilia mbali tunakaa mtaa moja, YES ni YES na NO ni NO!
 
Ukitaka ushauri ni huu fahamu katika mahusiano kuna wenza wanaweza kukusaidia ukawa very sucessfull in life na wengine wakakufanya uwe kama uliyechanganyikiwa kwa matatizo. Sasa jiulize Boyfriend wako yuko kundi gani. Kama ni kundi la mikosi na matatizo achana naye tafuta mwengine wa maana, kwani huyo hawezi kujirekebisha sana sana anakudanganya tu!!! Kama yupo katika kundi la mafanikio poa sana endelea nae tu kuenjoy maisha.
 
Tatizo nimesha achana nae na neno ITS OVER kwake nadhani imekuwa kama wimbo wa taifa, anapotea kwa muda then anaibuka tena na ku beep na msg za hapa na pale za kudanganya kwamba amebadilika.
mi hata sijui namfanyaje, I wish angebadilika akawa kama wanaume wengine wa kawaida, hata awe anaingiza alfu 50 tu kwa mwezi,lakini unajua mtu huo ndio uwezo wake.
ndugu zake wote wamemtenga na rafiki zake wote aliocheza nao anawakimbia kwa kuona aibu maana kila mtu amekuwa successful na maisha yao. alichofanya ametafuta marafiki wanywa gongo wenzake ambao hata shule hawajaenda.
 
Mi mwenzenu sijui labda nitakuja kubadilika huko mbele ya safari? Lakini nikisema Nooooooooooooooo to you nimesema sirudi nyuma wala sigeuki, na nikisema Yesssssssssss nimesema kwa kumaanisha pia!!!
Ni rahisi Yes kubadilika kuwa Nooo kuliko Noo kuwa YES!!

Najua tunaishi kwa neema ya Mungu, so hata bila uwepo wako wewe nitakayeona sikupendi au nakupenda maisha yanaendelea tu. Ilimradi nisimkosee Mungu kivile!!

Mwache abip atachoka ataacha, nini kubip apige masaa yote kumi na mbili kama sitaki kupokea sitaki tuuuu!!
Na hawa watoto wa kwenye taulo hawa, daaa nikikuhisi tu we ni wa kwenye taulo, nakula kona tu manake najua hapo maisha lazima yawe magumu!!!

So dada kwa nini uhangaike na mtu humpendi, tena yuko mbali hivoooo!!
Hata tungekuwa tumepanga nyumba mmoja achilia mbali tunakaa mtaa moja, YES ni YES na NO ni NO!
Kwangu wewe ni YES hata ukisema NO utabaki YES tuuuuuuuu
 
Ukitaka ushauri ni huu fahamu katika mahusiano kuna wenza wanaweza kukusaidia ukawa very sucessfull in life na wengine wakakufanya uwe kama uliyechanganyikiwa kwa matatizo. Sasa jiulize Boyfriend wako yuko kundi gani. Kama ni kundi la mikosi na matatizo achana naye tafuta mwengine wa maana, kwani huyo hawezi kujirekebisha sana sana anakudanganya tu!!! Kama yupo katika kundi la mafanikio poa sana endelea nae tu kuenjoy maisha.


huyu yupo kwenye kundi la kurudisha nyuma, maana hataki hata akuone na cent, enzi hizo akiniona na alfu 10 tu, basi atawapigia wanywa gongo wenzake wote awape ofa kwa hela yangu. yaani kila nikikumbuka alivyonirudisha nyuma kimaisha natamani kulia. but anyway kila kitu kina happen for a reason.
 
yani nimeomba huu ushauri kwasababu ameibuka tena ananisumbua kinoma,yaani sina hata raha
 
wadadaaaa mnawapenda saaana wauza sura nadhani mambo safi toka family zao ndo zinawachanganya. kuna mdada mmoja na yeye yuko kwenye late thirties kazaa na jamaa ambaye ni mdogo kuliko yeyeee jamaa kwao mambo supaa jamaa si mlevi lkn mpaka leo anakaa kwa mpaka leo anafanya kazi lkn hataki kuoa hamtunzi huyo mtoto wake dada ukimwona alivyo mzuri jamani duh lkn amedata kwa huyo jamaa dada ana maadili mazuri saana anavyomnyenyekea huyo jamaa lkn jamaa wala halina habari. fikiria mtu anapigiwa simu anaambiwa mtoto anahitaji nguo ya krismas baba anasema sina hela mbona sikukuu imekuja ghafla!! tehe huwezi amini dada anasema hawezi kuzaa au kuolewa na mtu mwingine yeye anaamini iko siku jamaa ataoa tu na mwanzoni demu alipopata ujauzito jamaa alikomaa itolewe demu akakataaa so dada zetu jihadharini na wauza sura haoooo
 
sasa mkuu wauza sura watapata wapi wapenzi kama kila mtu atawakataa? Mi nafikiri tatizo sio kuwa mambo safi, ni mtu mwenyewe.
wadadaaaa mnawapenda saaana wauza sura nadhani mambo safi toka family zao ndo zinawachanganya. kuna mdada mmoja na yeye yuko kwenye late thirties kazaa na jamaa ambaye ni mdogo kuliko yeyeee jamaa kwao mambo supaa jamaa si mlevi lkn mpaka leo anakaa kwa mpaka leo anafanya kazi lkn hataki kuoa hamtunzi huyo mtoto wake dada ukimwona alivyo mzuri jamani duh lkn amedata kwa huyo jamaa dada ana maadili mazuri saana anavyomnyenyekea huyo jamaa lkn jamaa wala halina habari. fikiria mtu anapigiwa simu anaambiwa mtoto anahitaji nguo ya krismas baba anasema sina hela mbona sikukuu imekuja ghafla!! tehe huwezi amini dada anasema hawezi kuzaa au kuolewa na mtu mwingine yeye anaamini iko siku jamaa ataoa tu na mwanzoni demu alipopata ujauzito jamaa alikomaa itolewe demu akakataaa so dada zetu jihadharini na wauza sura haoooo
 
The thing is unaonekana still you real love the man kwa kweli. Cha msingi chukua maamuzi magumu ya kumuacha
hawezi kukusumbua milele after all you have you own so humtegemei kihivyo najitahidi kuanzisha mahusiano mpya kama uko tayari ili kumtoa moyoni mapema
 
Kwani wewe hauna huruma kwa mwenzako??? amejirekebisha muhurumie mpe kile ulichokuwa unampa amekumbuka
 
Muubirie ampokee YESU aokoke atashinda majaribu ya shetani ya Pombe
 
Nikampa condition kwamba akitaka turudiane basi aache pombe, akakubali, after two month naongea nae, nikamtania kwa kumuuliza"vipi leo haujanywa? alichonijibu ni kwamba eti hana hela,kama vp nimtumie hela ili akapate beer 2.. sasa hii ni akili kweli? alishasahu kwamba aliahidi atabadilika.
i cant change my contacts na nataka awe out of my life forever nafanyaje? nisaidieni jamani.:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
i just hate him

Mara nyingi uwa na wasiwasi na AKILI ya WANAWAKE!

Huyu mtu amekutenda, mpaka ukachukua uamuzi wa kwenda nje ya nchi...

Baada ya kufika nje ya nchi unapata ki-simu cha kichina halafu unamtumia CONTACT...!!!!!!!!!!!!

Nadhani aliyesema uhawala hauwezi kuisha alikuwa mkweli! kha!!

Wewe mwenyewe ndiye uliyeanzisha mawasiliano baada ya kufika huko nje ya nchi, sasa unataka msaada gani?
 
Mi mwenzenu sijui labda nitakuja kubadilika huko mbele ya safari? Lakini nikisema Nooooooooooooooo to you nimesema sirudi nyuma wala sigeuki, na nikisema Yesssssssssss nimesema kwa kumaanisha pia!!!
Ni rahisi Yes kubadilika kuwa Nooo kuliko Noo kuwa YES!!

Najua tunaishi kwa neema ya Mungu, so hata bila uwepo wako wewe nitakayeona sikupendi au nakupenda maisha yanaendelea tu. Ilimradi nisimkosee Mungu kivile!!

Mwache abip atachoka ataacha, nini kubip apige masaa yote kumi na mbili kama sitaki kupokea sitaki tuuuu!!
Na hawa watoto wa kwenye taulo hawa, daaa nikikuhisi tu we ni wa kwenye taulo, nakula kona tu manake najua hapo maisha lazima yawe magumu!!!

So dada kwa nini uhangaike na mtu humpendi, tena yuko mbali hivoooo!!
Hata tungekuwa tumepanga nyumba mmoja achilia mbali tunakaa mtaa moja, YES ni YES na NO ni NO!

Lakini inaweza kubadilika tho ni ngumu, ama :msela:
 
unamuendekeza mwenyewe....wewe si Mungu my dear wa kuweza kumbadili mtu.....ignore him,he does not deserve you kabisaaa!!!

endelea na maisha yako,usijibebeshe mizigo mikubwa,the best you can do is to pray for him!!
 
Back
Top Bottom