Unajua ww ndo mwenye uwezo wa kumfanya awe hvyo alivyo au abadilike sikiliza mzuanda kwa maelezn yako unaoneka unampenda ila ni 7bu ataki kubdilika,binafc naamini huyo ndo mumeo uliepewa na mungu na hyo ni exams ya maisha 2 huna budi kuikabili kumbuka alikua familia bora na anaonekana hana thaman mbele ya wazaz wake ni waz atakua ameathirka kisaikrojia na sasa anaona mkombozi wake ni pombe 2,cdhani kama anawanawake wengne coz hujaeleza ni waz anakupenda but anapngana na mawazo yake akidhani kuwa kwako ng'ambo hatoweza hata kuligusa pindo la nguo yako.Sikushauri umwache coz ww ndo mwenye nguvu kubwa ya kumrudisha ktk hali ya kawaida
Ushauri~
1~Siku ukirudi home yani bongo jaribu kuwa nae muulize tatzo lake nini?
2~Pia jaribu kumtoa huko kwenye pombe chafu umlete kwenye hz za kawaida,coz kuacha pombe c kitu cha mala moja.
3~Pia jaribu kuwa nae muda mwingi ili asipate muda wa kufikiri kwenda kunywa pombe.
4~Pia kama utaweza mtafutie washauri nasaha nina imani atarudi ktk khali yake na akawa mme bora wa maisha yako.
5~Always matatizo hayakimbiwi sawa mziwanda!.
NB:Ukisema umwache huyo coz he's drunk men unaweza mpata ambae ni mtu wa totoz akakuumiza moyo mpaka ukajuuuuuuta kumfahamu.Muombe mungu amrudishe mmeo mtarajiwa kwenye khali yake ya kawaida.na mungu atajibu maombi,asante kwa kunisoma wasalimie kina 50 cent,bruce willis na cku ukija ucsahau gift.