sikuelwewi yamekukuta nini?una hasira sana punguza jazba mwelezeni kwa upole atabadilika tu,halafu sijui huwaga wanawapaga nini,maana mnawapenda kupita kiasi na hamsikii la kuambiwa.Binamu yangu yeye mpaka kangolewa meno nabado hela ilotumwa kumsaidia jaamaa kabeba kenda nywea mapombe mavi yake bado anaye tu na ukitaka kumsaidia lazma amtaje na huyo kibwengo mkubwa wa shetani:rain:
Lakini inaweza kubadilika tho ni ngumu, ama :msela:
Umesema ni U hate your EX?? Sasa unataka kusema kuwa una mwingine huko??? Hana wivu??
Uliondoka nchini kwa ajili yake ukafika huko ukampatia contact zako za nini??
Acha kutuzuga hapa bana wewe bado unampenda huyo jamaa yako endelea naye
mlete huko ulaya aje anywe vodka mpaka alale kwenye barafu maana bado unampenda sana
Unajua ww ndo mwenye uwezo wa kumfanya awe hvyo alivyo au abadilike sikiliza mzuanda kwa maelezn yako unaoneka unampenda ila ni 7bu ataki kubdilika,binafc naamini huyo ndo mumeo uliepewa na mungu na hyo ni exams ya maisha 2 huna budi kuikabili kumbuka alikua familia bora na anaonekana hana thaman mbele ya wazaz wake ni waz atakua ameathirka kisaikrojia na sasa anaona mkombozi wake ni pombe 2,cdhani kama anawanawake wengne coz hujaeleza ni waz anakupenda but anapngana na mawazo yake akidhani kuwa kwako ng'ambo hatoweza hata kuligusa pindo la nguo yako.Sikushauri umwache coz ww ndo mwenye nguvu kubwa ya kumrudisha ktk hali ya kawaidayani nimeomba huu ushauri kwasababu ameibuka tena ananisumbua kinoma,yaani sina hata raha
believe me, huwezi amini ninavyomchukia. then nimesha move on na maisha yangu
Mara nyingi uwa na wasiwasi na AKILI ya WANAWAKE!
Huyu mtu amekutenda, mpaka ukachukua uamuzi wa kwenda nje ya nchi...
Baada ya kufika nje ya nchi unapata ki-simu cha kichina halafu unamtumia CONTACT...!!!!!!!!!!!!
Nadhani aliyesema uhawala hauwezi kuisha alikuwa mkweli! kha!!
Wewe mwenyewe ndiye uliyeanzisha mawasiliano baada ya kufika huko nje ya nchi, sasa unataka msaada gani?
Ukimchukia mtu hutopokea simu zake
Ukipokea hutoongea nae cz u gotta better things to do
Just accept it kwamba u still love hm hamna cha ubest friend wala nini.
I can assure you mshakaji usipomtoa in ur life now, u will hate urself for not doing it now.
dada acha kutuzuga....endelea kuwa na jamaa yako moyoni mwako.hauna dalili za kumuacha huyu jamaa.no yako ya simu aliipataje? unampa ushauri wa nini? ili iweje?halafu?
Umesema ni U hate your EX?? Sasa unataka kusema kuwa una mwingine huko??? Hana wivu??
Uliondoka nchini kwa ajili yake ukafika huko ukampatia contact zako za nini??
Acha kutuzuga hapa bana wewe bado unampenda huyo jamaa yako endelea naye
mlete huko ulaya aje anywe vodka mpaka alale kwenye barafu maana bado unampenda sana
Unajua ww ndo mwenye uwezo wa kumfanya awe hvyo alivyo au abadilike sikiliza mzuanda kwa maelezn yako unaoneka unampenda ila ni 7bu ataki kubdilika,binafc naamini huyo ndo mumeo uliepewa na mungu na hyo ni exams ya maisha 2 huna budi kuikabili kumbuka alikua familia bora na anaonekana hana thaman mbele ya wazaz wake ni waz atakua ameathirka kisaikrojia na sasa anaona mkombozi wake ni pombe 2,cdhani kama anawanawake wengne coz hujaeleza ni waz anakupenda but anapngana na mawazo yake akidhani kuwa kwako ng'ambo hatoweza hata kuligusa pindo la nguo yako.Sikushauri umwache coz ww ndo mwenye nguvu kubwa ya kumrudisha ktk hali ya kawaida
Ushauri~
1~Siku ukirudi home yani bongo jaribu kuwa nae muulize tatzo lake nini?
2~Pia jaribu kumtoa huko kwenye pombe chafu umlete kwenye hz za kawaida,coz kuacha pombe c kitu cha mala moja.
3~Pia jaribu kuwa nae muda mwingi ili asipate muda wa kufikiri kwenda kunywa pombe.
4~Pia kama utaweza mtafutie washauri nasaha nina imani atarudi ktk khali yake na akawa mme bora wa maisha yako.
5~Always matatizo hayakimbiwi sawa mziwanda!.
NB:Ukisema umwache huyo coz he's drunk men unaweza mpata ambae ni mtu wa totoz akakuumiza moyo mpaka ukajuuuuuuta kumfahamu.Muombe mungu amrudishe mmeo mtarajiwa kwenye khali yake ya kawaida.na mungu atajibu maombi,asante kwa kunisoma wasalimie kina 50 cent,bruce willis na cku ukija ucsahau gift.
Why askofu?
Sirudi Bongo ng'o:msela::msela:hapa nimeshafika
Why askofu?
...and when they dare, they dare for morehalafu sijui huwaga wanawapaga nini,maana mnawapenda kupita kiasi na hamsikii la kuambiwa.Binamu yangu yeye mpaka kangolewa meno nabado hela ilotumwa kumsaidia jaamaa kabeba kenda nywea mapombe mavi yake bado anaye tu na ukitaka kumsaidia lazma amtaje na huyo kibwengo mkubwa wa shetani:rain:
believe me, huwezi amini ninavyomchukia. then nimesha move on na maisha yangu
Kuna kahuruma fulani hivi unako juu yake, ndo maana unakuja kutafuta ushauri humu ndani. Na anaendelea kukusumbua kwa sababu bado unamsikiliza, kwahiyo ana matumaini angalau ya kupata pesa! Pole sana. Uamuzi ni wako dada....:decision:
Ni kweli kabisa KH....labda huyu jamaa ana kitu ambacho kinamvutia sana Mzuanda pamoja na kuwa mlevi wa kupindukia, nasema mlevi wa kupindukia maana mtu akifikia mpaka kunywa matapu tapu na gongo basi huyo kishaharibikiwa na hapa Mzuanda inabidi tu achukue ustaarabu wake na kumsahau kabisa.