I hate my Ex-


You sound like still in LOVE with him!!
and if thats the case then, I have only one sentence for you "FOLLOW YOUR HEART NOT YOUR EMOTIONS!"
 
Sirudi Bongo ng'o:msela::msela:hapa nimeshafika

una shida gani kama huna mpango wa kurudi home
 

rafiki, hata mimi lilikuwa linaniumiza kichwa hilo swali. yeye alikuwa amekusudia kabisa kuachana na huyo jamaa kabla hata hajaenda kubeba hayo mabox, ilikuwaje sasa ampe namba zake za huko? anatuzingua tu huyu, aendelee tu kumsumbua
 
Tatizo nimesha achana nae na neno ITS OVER kwake nadhani imekuwa kama wimbo wa taifa, anapotea kwa muda then anaibuka tena na ku beep na msg za hapa na pale za kudanganya kwamba amebadilika..

Atiiii??

Wewe bado UNAMPENDA sana tu ila unatuzingua.

Kuna mambo ya kuomba ushauri ila sidhani kama hili ni moja wapo.

Hujapata boyfiend mwingine tu tangu uachane na huyu ''mtoto wa mama na mlevi wa kutupwa??
 

sina mbavu Dena kwa hii comment
 
Huwa nasikia wakisema heri kichaa uliyemzoea kuliko mpya. Kiukweli kuachana kimapenzi nje kusikosababishwa na ku cheat kunauma. Huyu dada anatamani huyu jamaa kama angekuwa na uwezo wa kuacha pombe na kuwa nadhifu tena then warudiane. Ila kama kweli anataka kutowasiliana nae tena na kwa kuwa hawezi badili line, kuna simu siku hizi waweza block individual. Dada tafuta simu hizo preferably samsung. Tafuta mtu akuelekeze how to block someone, kwa msg na calls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…