jaribu kuisherehekea na watu wengine kama mama mzazi, baba mzazi, hata watoto yatima.
Ndio hivyo bht kwani we humjui boss?huyo ndio the boss bwana a.k.a fataki..ohh no natania.
ninao ninao wapenda na kuwajali kila siku ..
sio siku hiyo moja tu.
rejea ulichokiandika......boss wewe una vituko sana (malimbukeni wa mapenzi)
kwa hiyo vituko vyangu vinaku suuza roho?
ha ha ha.
u r welcome.
we hujanielewa kabisa.....
halafu hilo jina lako nahisi umelikosea...
ni qun faya qun. hivi
kwani we unajua jina lake zaidi ya mwenyewe jamani Boss?
Pearly asante sana kwa ushuri mzuri..ninauzingatia.Thank you once again.FirstLady tangu kipindi hivho sijaamua rasmia kuwa na mtu..nimeamua kuwa peke yangu.