Tuliza ball
Utaibiwa sasa hivi upatwe na strock
mjini hapa we weka banki fixed
interest ya miezi mitatu ni pesa nzuri sana ..
subiri baada ya miezi mitatu.
sasa chukua hiyo pesa ya interest ya miezi mitatu ya kwanza then mtafute
faiza foxy akuandikie business plan ya mradi ambao utatafuta partners wa nje muinie ubia then sasa hapo ndipo utakapoweka hata 100,000 usd ili na wewe uwe na asilimia kadhaa za umiliki wa huo mradi huku ukiacha partners wakiweka lets say
usd 2 millions
na biashara ambayo mie ningekushauri kuifanya ni
UVUVI yes uvuvi tuna maziwa , mito na bahari Uvuvi ni bonge la business ila hakuna mtu aliyeshtukia
so tafuta andika mradi, tafuta investors nunueni MELI yes MELI
muanze kazi
kununua meli tembelea hapa
SHIPS FOR SALE
halafu ni pm unirushie vocha ya kukupa consultation
hahahaha just kiddin...