I have a weird fantansy

I have a weird fantansy

Hun

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
110
Reaction score
106
Ni fantansy ambayo nimekuwa nayo kwa muda wa miaka miwili
it's a weird fantansy ila msinijudge
mimi ni msichana lakini ningetamani sana kama hata kwa siku moja niexperience mapenzi na msichana mwenzangu.
am straight.lakini ndo fantansy yangu hiyo,natamani mno.
 
Pole sana, kumbuka kua sio kila kitu ambacho mwili wako unatamani basi uupatie, mwili hua na tamaa mbaya sana, ambazo huleta unajisi na dhambi .
 
have you ever tested it?dont try it, you better find the common way kuji enjoy mpenzi
 
Pole sana, kumbuka kua sio kila kitu ambacho mwili wako unatamani basi uupatie, mwili hua na tamaa mbaya sana, ambazo huleta unajisi na dhambi .

Na ndiyo maana ya ubinadamu; uwezo wa kupambanua wema na ubaya, kinyume na hapo anabaki kuwa mnyama.
 
Na ndiyo maana ya ubinadamu; uwezo wa kupambanua wema na ubaya, kinyume na hapo anabaki kuwa mnyama.

Haswaaa, yani ukiamua kuupatia mwili wako kila unachotamani, huwezi tena kua mtu wa kawaida,hata mnyama atakua na nafuu.
 
no i have never tried

And dont try it , mbona hutamani kupata experience ya kunywa sumu, au kujichinja? endapo unataka upate experience ya kila jambo? ni kwa sababu unaona ni hatari eee, sasa ukianza huu mchezo ni hatari pia, kuna wakati utahitaji kuacha lakini haitakuwa rahisi kwako, waulize wanaofanya haya mambo watakueleza jinsi wanavyopambana kwenda kwa wataalamu wa saikolojia ili waache , lakini wanashidwa.
 
Ni fantansy ambayo nimekuwa nayo kwa muda wa miaka miwili
it's a weird fantansy ila msinijudge
mimi ni msichana lakini ningetamani sana kama hata kwa siku moja niexperience mapenzi na msichana mwenzangu.
am straight.lakini ndo fantansy yangu hiyo,natamani mno.


ever fantasize about threesome?
two girls and a guy?
 
My sist, kwanza nipongeze kwa kujitambua na hata kuona tatizo lililo mbele yako. Ni wazi kwamba kitendo cha kutambua kinakupa uhuru wa kuamua. Nakushauri usijaribu kushiriki kwani ule mchezo utakufanya teja na mwisho hutasikia lolote la kuambiwa. Miili tuliyopewa ni mahekalu ya mungu, hatuna budi kupambana na vishawishi vinavyojitokeza juu ya miili(mahekalu) yetu. Sina mengi ya kukuasa ila uwe makini usije tumbukia kwenye hili domo la shetani.
 
  • Thanks
Reactions: Hun
Sijaona sababu ya wewe kuja love connect. Ungeenda MMU ukaombe ushauri.

bado sijajua jinsi ya kutumia JF vizuri, labda ingewezekana kupelekwa huko MMU ningeshukuru. i only clicked the first page i saw
 
Ni fantansy ambayo nimekuwa nayo kwa muda wa miaka miwili
it's a weird fantansy ila msinijudge
mimi ni msichana lakini ningetamani sana kama hata kwa siku moja niexperience mapenzi na msichana mwenzangu.
am straight.lakini ndo fantansy yangu hiyo,natamani mno.

nipm tuongeee..
 
Back
Top Bottom