I have an Idea: Nahitaji ushauri, maoni

I have an Idea: Nahitaji ushauri, maoni

yaasary

Senior Member
Joined
Mar 26, 2011
Posts
110
Reaction score
59
Habari, Jaman nimepata mawazo fulan hivi.

Kwanza nianze kwa kutamka kuwa Mimi si mtaalamu wa maswala ya information technology, but ni mtumiaji mzuri Wa hizi huduma wanazotuletea, katika hii fani niliyonayo nimepata wazo la kutoa huduma kupitia nyanja hii ya IT, nikiwa na lengo la kushirikiana na makampuni ya mawasiliano eg Vodacom.

Kwa wale wenye ujuzi naomba ushauri if I can achieve this.

Nawasilisha. (Kama kuna mtu atahitaji maelezo zaidi ntajitahidi kutoa kadri ya uelewa wangu)
 
Yani hata cjui umeongea nini??? Huna utaalamu, Ila una wazo, Hilo wazo haujatuambia, sasa cjui wataka tukusaidie vp.. Ebo????
 


Kwa wale wenye ujuzi naomba ushauri if I can achieve this.


Achieve what..? I dont want to assume that you are day dreaming.. Please be clear and specific..
 
Mbona hueleweki what is your proposal exactly what are you trying to say.

Wabongo wengi mnafeli kwenye confidence presentation outfit na convincing approach.
 
Umefeli kabla hujaanza. Ni sawa na mgonjwa anakwenda hospital anasema anaumwa lakini hasemi anaumwa nini. Dr atakutibuje? lazima utoke bila kutibiwa
 
Kaaazi kweli kweli.
Ndugu yangu kwa mwanzo tu kwanza nakuashauri hizo ndoto za namna hiyo acha kabisa.
Maana kujieleza tu tatizo na muonekano tu ni kwamba wazo lako ni la kawaida sana tu.
Suala jingine kama sio mtaalam wa mambo ya IT nenda shule kasome,fani hiyo haina kubahatisha.Vyuo vipo kibao hata Darasa la saba wanachukuliwa kusomea,muhim uwe mjanja tu kichwani.
Hukatishwhi tamaa lakini Usifanye maisha rahisi namna hiyo kama unavyofikiria
 
Habari, Jaman nimepata mawazo fulan hivi.

Kwanza nianze kwa kutamka kuwa Mimi si mtaalamu wa maswala ya information technology, but ni mtumiaji mzuri Wa hizi huduma wanazotuletea, katika hii fani niliyonayo nimepata wazo la kutoa huduma kupitia nyanja hii ya IT, nikiwa na lengo la kushirikiana na makampuni ya mawasiliano eg Vodacom.

Kwa wale wenye ujuzi naomba ushauri if I can achieve this.

Nawasilisha. (Kama kuna mtu atahitaji maelezo zaidi ntajitahidi kutoa kadri ya uelewa wangu)
mbona project ime feli kabla ujaanza
 
sasa hapa wakuu huyu tutamshauri nini wakati hatujui ni nini hasa anafanya!!!!!!!!!

kajipange vizuri harafu urudi tena kutueleza
 
Nenda kwa hayo makampuni ya simu ukatoe mawazo yako. Kila la kheri
 
Hallo Yaasar post yako haijaonyesha wazo ulilonalo, na kwa kukushauri kama unaona ni kitu kinachoweza kufanyika, mtafute "expert" zaidi yako kwenye masuala ya IT na umshirikishe. ila uwe makini unavyoelezea wazo lako, jitahidi kutokuliezea completely in full bali mpe hints tu maana unaweza shangaa umeibiwa wazo just like that. wish you all the best.
 
Hallo Yaasar post yako haijaonyesha wazo ulilonalo, na kwa kukushauri kama unaona ni kitu kinachoweza kufanyika, mtafute "expert" zaidi yako kwenye masuala ya IT na umshirikishe. ila uwe makini unavyoelezea wazo lako, jitahidi kutokuliezea completely in full bali mpe hints tu maana unaweza shangaa umeibiwa wazo just like that. wish you all the best.

Huyu theres no way ataimplement mwenyewe, kwa hiyo wazo lazima liibiwe atake asitake, knowledge ya kuimplement mwenyewe hana..
 
Kuna probability kubwa una-daydream, hamna wazo mtu atafikiria ambalo halijawazwa na mtu mwingine, siku hizi hua tunafanya tu ambayo wengine wamefanya either better au walifikiria lakini hawakuimplement, sasa wewe upo category ya pili, afu wazo lako laweza kua baya vilevile au halitekelezeki ndo maana hamna mweye muda nalo hadi sasa... Unless u prove me otherwise ntakushauri kwa sasa nenda kasome miaka kadhaa ijayo ukisema una wazo unaamka na kuanza kuliimplement mwenyewe...
 
Tusimkatishe tamaa ana wazo zuri sana tatizo ni kwenye implementation...!!! Mimi binafsi nimem pm awasiliane nami kina MAXCOM walianza kama yeye! Kuna huduma nyingi za IT bado hazijafanyiwa kazi Africa/Tanzania
 
Back
Top Bottom