Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuja mbio nikajua Kuna kitu Cha maana..😅Nasema ipo siku moja tu,
Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha
Niwatakie jumapili njema🤦🤪🏃
Nikupe namba ?Nasema ipo siku moja tu,
Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha
Niwatakie jumapili njema[emoji1751][emoji2957][emoji125]
una mtext as usually likeNasema ipo siku moja tu,
Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha
Niwatakie jumapili njema🤦🤪🏃
Believe me una stress za maisha na haujatoboa bado
Mt Kilimanjaro na kichuguuWe umetoboa au umetoga?
Ubaya wa kitu kinachoitwa dream ni kwamba hakina timeframe wala plan. Una ndoto ila hujui lini itatimia si ajabu ndoto hiyo ikaja kutimia baada ya miaka 30 pengine wakati huo sio rais tena ameshastaafuNasema ipo siku moja tu,
Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha
Niwatakie jumapili njema[emoji1751][emoji2957][emoji125]
🖐 tenaNasema ipo siku moja tu,
Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha
Niwatakie jumapili njema🤦🤪🏃
Niliwahi kufika nyumbani kwake pale mbuyuni mwaka 2010, nadhani ilikuwa Oktoba au Novemba. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kumona LIVE, kabla ya hapo nilikuwa namuona kwenye Tv tu. Kulikuwa na watu wengi siku hiyo ila nilibahatika kumsalimia alikuwa anapita, nikaogopa kuongea naye. Nilikuwa bado simjui vizuri. Sasa hivi nikimuona live na kukawa na nafasi, naweza nikachat naye. Kipindi kile niliogopa, nikuwa simjui vizuri namna social life yake ilivyoNasema ipo siku moja tu,
Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha
Niwatakie jumapili njema🤦🤪🏃
Unachokisema kinawezekana kwan rais ni nani? Kua na imani weka mipango yako sawa itatimia tu.Nasema ipo siku moja tu,
Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha
Niwatakie jumapili njema🤦🤪🏃