Au ndo yule wa kwenye Basi
Kazi kwelikweli
Kumbe huyu PSL god ndo aliamua kubadiki id baada ya kumpiga kibuti mbele ya kadamnasi 😂 noma sanaNdo maana mikeka inachanika kumbe
Hata hii bet ni ya kupoteza kweli??
Kumbe huyu PSL god ndo aliamua kubadiki id baada ya kumpiga kibuti mbele ya kadamnasi 😂 noma sana
Mungu aniepushie mbali ujasiri kama huo, nikikataliwa huko pm inatosha
Hahaha mkuu sijawahi mtongoza Joanah humu ndani mi napenda kutongoza madem unknown mkuuKumbe huyu PSL god ndo aliamua kubadiki id baada ya kumpiga kibuti mbele ya kadamnasi 😂 noma sana
Mungu aniepushie mbali ujasiri kama huo, nikikataliwa huko pm inatosha
Joanah ni wangu mkuu.....so kama unatafuta fimbo ....jiandae [emoji3063][emoji3063][emoji3063]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
NightsKumkubali kiana? Chai
HahahHuyu kijana ni chawa wa makonda huko A town